Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
 
Yani kafanya usafi nako ni tatizo?
 
Alinyoa, akaliwa kimasihara. Akarudi kwa mme wake, mume akagundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…