Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Hata ningekua mimi ni lazima nistuke wanawake wakitanzania wengi kunyoa wakati wakukutana na mpezi mpya, mabaharia wengi humu ni mashahidi.
 
Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Sehemu za siri huwa ni zipi?
 
Kwani alifiwa na nani yake?
Alikaa muda gani msibani?

Uhusiano wake na marehemu na muda aliokaa msibani vinaweza kujua uhalali ya huyo mke kunyoa.

Ni jambo fikirishi sana:. Mtu uko msibani then unapata wazo la kunyoa vuzi na kulitekeleza huko huko msibani
 
Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
picha tafadhali ya hizo sehenu za siri?

Ila nahisi huyo mme ni UTO
 
Back
Top Bottom