kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
MkeweKarogwa na nani sasa hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkeweKarogwa na nani sasa hapo
Anafanya yeye mwenyewe yaani usimamizi ule ambao unahakikisha shamba limekuwa jeupee. Japo pamoja na haya yote ukweli unabaki pale pale hawa wenzetu wana kipaji cha kupretendWakumtizama mkewe akiwa anajifanyia usafi au kumfanyia yeye mwenyewe 😀
Pia nani kamnyoa????kwann? anyoe
Hapana hiyo nakataa wengine ni akili zao, wanarogwa makwao tu wasijali wake zao.Mkewe
Uchawi wa hivi huu sijawahi kusikia aise. Arogwe kwao ili asijali mke? Hapana. Mke ndio mlozi hapo kamtia LimbwataHapana hiyo nakataa wengine ni akili zao, wanarogwa makwao tu wasijali wake zao.
Heee wee acha tu kama hujawahi Iona basi wanawake wanapitia magumu kwenye ndoaUchawi wa hivi huu sijawahi kusikia aise. Arogwe kwao ili asijali mke? Hapana. Mke ndio mlozi hapo kamtia Limbwata
Jamaa amehisi mke kaliwa msibaniMapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Wanaawqakle wa kizazi chetu ni jeuri tu😄Heee wee acha tu kama hujawahi Iona basi wanawake wanapitia magumu kwenye ndoa
Kumbuka walipotoka wanawake na wanaume wametokea hapo hapo, unazani wanaume wao wanajua kuishi na wake zao? Vijana wengi wanataka wahudumiwe kama wame ila wao kusimama kama wame hawataki, ila ndoa iliharibika anasingiziwa mwanamkeWanaawqakle wa kizazi chetu ni jeuri tu😄