Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Bro ataka kibox manyoya!
 
Daah hili suala lazima limpe hofu mwanaume yeyote kwasababu ki kawaida mwanamke huwa hajiamini kwenda kuliwa nje akiwa na mavuzi.

Kwahiyo kwa asilimia nyingi sana utakuta akienda kuliwa lazima aanza kunyoa huko chini, japo hizo asilimia chache zilizobaki ni kwamba amenyoa sababu ya usafi.

Ila haina makombo angeendelea tu kukandamiza japo inaletaga mfadhaiko
 
Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132

Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Kama hauna D mbili huezi mwelewa mwamba
 
Aliona atakuwa anawashwa na mme hapendi kupaliliwe, akaamua ajifanyie mwenyewe pale pale nyumbani, ila jamani kuna watu wanalinda mali zao Kwa umakini kweli, sio wengine hata haulizi unaenda wapi anakenua tu 😁
 
Jamaa yuko sahihi kabisa, mke aliaga anaenda msibani sio kwenda kunyoa
Sasa kwanini karudi na kipara wakati aliondoka na kipilipili.
 
Mwanaume taahira msitu kufyekwa bila taarifa sio mbaya cause msimu wa kilimo umewadia lazima shamba liwe swafi
 
Jamaa ana akili sana,vyoo na bafu muda wote watu wanataka wavitumie unawezaje kujifungia huko ujinyoe! Na huko vyumbani ndiyo haiwezekani kabisa maana hata nafasi ya kubadili nguo hakuna.
Huyo lazima kaliwa halafu ndiyo kanyolewa.
 
Back
Top Bottom