Hivi unazani wanaume wote wana akili hizo? Mwingine hajali chochote, mke hata afanye nini anakenua tu, mke anatoka mapema anaita bodaboda hata kusema ngoja nione anayemchukua ni nani yeye anakoroma kitandani, sasa huyo atajua shamba linasafishwa lini!Anatakiwa afanyiwe nyumbani tena chini ya uangalizi