TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

RIP King Majuto.
Umeacha pengo kubwa sana katika sanaa ya uchekeshaji.
 
Mzee wa misiba stevenyerere hajachangamkia fursa bado?!!!
 
Sikuwahi kujua jina halisi la mzee majuto kumbe aitwa Amri Athumani....R.I.P baba yetu
 
Sababu hii Kila Mwanaume ana Tezi Dume ambayo kazi yake ni Kuzalidha Mbegu za Mwanaume,Sasa huwa likiwa kubwa ndo Tatizo,Na huwa linakatwa,
Kabla ya hapo linapimwa in terms of Cm na Volume/Length.
Tezi dume (Prostate gland ) haizalishi mbegu za kiume (sperm)

Tezi dume huzalisha maji maji yenye alkaline kwa ajili ya kuzifanya mbegu ziweze kusurvive pia kuzikinga na acid iliyo kwenye uke wa mwanamke

Mbegu za kiume huzalishwa na korodani (testes)
Watu wengi wamekuwa wakichanganya cancer ya tezi dume (Prostate cancer) na Mabusha /busha (elephantiasis of the scrotum)
 
Inna lillah wainna ilayh raajuun!! Allah ampe kauli thabiti
 
May his soul rest in peace.

Forever he 'll be in our thoughts & hearts.
 
Raha ya Milele umpe Ee Bwana, na Mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani. AMINA
 
Tokea enzi za kina bi chau na marehem mzee small aisee
 
Pumzika kwa amani mzee Majuto! Hii dunia kweli tunapita
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] ,very sad for the King Majuto death streaming updates, Upumzike kwa Aman.
Your among Legends
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…