TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

Sio msambwini ni msambweni, Allah amueke anapostahili
 
Huyu Mzee alikuwa mtu wa kufurahi wakati wote, hata akiumwa alikuwa na tabasamu lake,
R.I.P Majuto the King.
 
Mungu ndio anajua wapi mja wake huelekea anapofikwa na umauti baada ya kuingizwa kaburini kwa imani yangu ndio mana nikasema hivo
Samahani imani yako ni ya dini gani??
 
Wewe mbele yetu sisi nyuma yako ,usisahau kumsalimia Sharo Millionea.

R.I.P. Mzee wetu
 
Hakika ya mauti kweli humfika kila kiumbe, pumzika kwa aman mzee wetu mbele yako nyuma yetu
 
Kaburi ndio Ghetto pekee la Haki, Kila nafsi yenye Uhai ni lazima ionje Mauti. May his Soul Rest In Eternal Peace
 
INNA LILLAH WA INNA ILLAHI RAJIUN.
POLENI WOTE MNAOHUSIKA NA MSIBA HUU.
 
RIP King Majuto! Alikuwa genious kwenye kila alichokifanya, he really kept us entertained as we were growing up and i could watch his films more than ten times na nilicheka kila wakati! A big blow indeed but a life well lived!
 
RIP gwiji... umeenda na tasnia yako... Bakurutu baloba..nzela ya bato nyoso [emoji22] [emoji22]
 
Upumzike kwa Amani mzee Majuto - vijana wangu wamesikitika sana walipopata habari hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…