TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

Steve nyerere rais wa wasanii ana habari hizi!!

All in All RIP king
 
yule mtu mfupi anatamani asingestaafu kile cheo cha kushughulika na misiba maana anajua angepiga hela ya kutosha kwenye msiba huu.

#ripkingmajuto
#yungtempe
 
Kama nakiona kifo kinaniambia "you are nex"
Siku nikifa sijui itakuwaje? Sijui nitaonana na kitu gani?
 
R.i.p king Majuto...
Wasanii hapa ndio watajifanya walikuwa wanampenda, wakati ni wachache sana walienda kumuona alipokuwa amelazwa...
 
Back
Top Bottom