Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa Kunielimisha MkuuTezi dume (Prostate gland ) haizalishi mbegu za kiume (sperm)
Tezi dume huzalisha maji maji yenye alkaline kwa ajili ya kuzifanya mbegu ziweze kusurvive pia kuzikinga na acid iliyo kwenye uke wa mwanamke
Mbegu za kiume huzalishwa na korodani (testes)
Watu wengi wamekuwa wakichanganya cancer ya tezi dume (Prostate cancer) na Mabusha /busha (elephantiasis of the scrotum)
Kutoka kwa Stive au. ...?Huyu mzee wetu kasingiziwa sana kifo. Nitasubiri taarifa rasmi. Ugua pole mzee Majuto.
Hahahaha[emoji23]Pumbavu, nyie si mnafurahia kuua, kwanini mlimpiga Lisu risasi
Hivi hili neno huwa lina maana gani, lugha ya kiarabu sikubahatika kupita nayo ,hili neno[emoji117] " inna lillah Wa inna ilaihi Rajiuun"
[emoji106]Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye ndio marejeo yetu