TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

Tezi dume (Prostate gland ) haizalishi mbegu za kiume (sperm)

Tezi dume huzalisha maji maji yenye alkaline kwa ajili ya kuzifanya mbegu ziweze kusurvive pia kuzikinga na acid iliyo kwenye uke wa mwanamke

Mbegu za kiume huzalishwa na korodani (testes)
Watu wengi wamekuwa wakichanganya cancer ya tezi dume (Prostate cancer) na Mabusha /busha (elephantiasis of the scrotum)
Ahsante kwa Kunielimisha Mkuu
Ila Pia Unaweza Kuwa na Prostate gland bila Kuwa na Prostate Cancer,ni vitu viwili Tofauti,Watu wenye Tezi Dume,si Lazima awe na Cancer,nilikuwa na Rafiki yangu,ndugu yake alikuwa na Tezi Dume, walipomkata kile kinyama kukipima wakakuta hana Cancer ila Ile Prostate ilikuwa inekuwa kubwa Cm 63.
Hivyo Kupelekea Kuziba Njia ya Mkojo/Kukojoa Mara Kwa Mara!
 
Inna liLlahi wa inna ilaihi Rrajiuun Allah ampumzishe kwa amani na ampe kauli thabit inshaAllah
 
Inna liLlahi wa inna ilaihi Rrajiuun Allah ampumzishe kwa amani na ampe kauli thabit inshaAllah
 
Hivi hili neno huwa lina maana gani, lugha ya kiarabu sikubahatika kupita nayo ,hili neno[emoji117] " inna lillah Wa inna ilaihi Rajiuun"
 
Back
Top Bottom