Amri ya kutotamani mke wa mtu au mwanamke inapotoshwa sana na jamii

Kazi ipooo na badooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amri zote pia zifumuliwe na kuangaliwa upya!

Maana hata hii ya 6 ya: "usizini" hii, inajikanganya na kukinzana na maagizo ya Mungu ya: "enendeni mkazaane mkaijaze dunia"!
 
Kwa hiyo ukiangalia kwa macho na ukatamani unakuwa haujatamani kimantiki ila umekemea upotofu wa kimavazi wa wanawake?Ndiyo hivyo?Basi,umefutiwa dhambi zako.Anza upya!πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Kwa hiyo ukiangalia kwa macho na ukatamani unakuwa haujatamani kimantiki ila umekemea upotofu wa kimavazi wa wanawake?Ndiyo hivyo?Basi,umefutiwa dhambi zako.Anza upya!πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Ndio Mkuu hio ni hekima, busara na akili tulivu ya mwanaume hakemei dhambi kwa papara anaiangalia kwanza kisha aone namna bora ya kuikemea na kuishinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…