Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufungulie wengine hizi simu za kitochi tumeshindwa kufunguaBarua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Hiyo barua wameiwasilisha ikulu tayari au taarifa za mitandao tu?Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Ndo nani huyu AmsterdmiBarua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
kumekucha!!Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Tulia mama usipate taabu ,kila wanachopanga kinajulikana soma hapa, Jiwe mwaka huu atawajua wenye dunia.Tufungulie wengine hizi simu za kitochi tumeshindwa kufungua
Hatari sana.Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Tar 30/7 kesi ilihairishwa mpaka 26/8 inamaana wakili wa lisu hakumpa taarifa mteja wake au hakufanya jambo kesi ihairishwe maana ratiba ya tume inaeleweka.Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
Ungewashauri wale waliompiga risasi hiviICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali mfano DPP kwa Tanzania....