Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Sheria inasemaje? Iweke hapa tuone inavyosema Kisha utuambie siku Magu anachukua form pale Dodoma alifanya nini na tbc walimuonesha live akiwa anafanya nini?
Wataita sherehe ya kuchukua form, Mwinyi, Sharif Hamad, Membe, Lissu na Lipumba wote wamefanya.

Tatizo mmoja anajua sana kaamua kuzunguka nchi nzima. Halafu NEC awajasema lolote mbona anajishtukia.

Ukitaka kuona kanuni ingia kwenye website ya NEC zipo published.
 
We umeona kuna mtu ameanza campaign mapema? Soma hiyo barua kama Lissu alikuwa anaona anachofanya sio kosa kwa kanuni za uchaguzi mbona anajihami leo kutokana na mambo aliyokuwa akifanya.

Ndio hayo watu walikuwa wanawaambia katika vyama 16 vilivyochukua form ni CDM peke yake ndio waliobaini loopholes za kanuni. Wengine wote mazoba.

NEC awajasema kitu mpaka sasa ni Lissu tu ndio anaeangaika na wasiwasi atakatwa kwa kuanza campaign mapema.
Kanuni zipi za uchaguzi Lissu amezivunja???
 
ICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.

Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC.

Mambo mengine ni kufurahishana tu, kati ya Lissu na wafuasi wake lakini Amsterdam hana jurisdiction kwenye mambo ya ndani ya Tanzania.

Binafsi naomba Lissu asikatwe pamoja na kuvunja kanuni aachwe agombee baada ya kushindwa ndio watu wataelewa huyu mtu anahitaji psychological help.

Lissu kwa sasa anaamini yeye ni mtu untouchable, above the Tanzania laws, he has large group of followers ready to rebel and that belief is growing as days go kwa sababu vyombo vya ulinzi wameamua ku entertain his thoughts tangia amerudi out of pity considering his plight but at some point he needs to come down to earth.

Baada ya kushindwa uchaguzi the extent of Lissu’s mental health problem will become obvious, to many people; time will tell.
Sasa akiachwa ndugubatajiona kama yupo juu ya sheria..lazima sheria na kanuni ziheshimiwe.. hii ni nchi sio kikundi cha watu.

Leo akiachiwa kwa hili kesho atafanya lile. Si umeona anavyojitamba mbele za watu kuwa "si mnajua mi mwanasheria ee"

Huyu anyooshwe tu ajue nchi si zaidi ya mtu au mabeberu wanaotoa backup.
 
The country could be an international pariah!!!
Then those who think we are heading into that direction have their stationed ambassadors to air that view first, not some law firm who keep issuing empty threats with the belief we are a nation gullibles from the advice of his sick client.
 
ICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.

Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC.

Mambo mengine ni kufurahishana tu, kati ya Lissu na wafuasi wake lakini Amsterdam hana jurisdiction kwenye mambo ya ndani ya Tanzania.

Binafsi naomba Lissu asikatwe pamoja na kuvunja kanuni aachwe agombee baada ya kushindwa ndio watu wataelewa huyu mtu anahitaji psychological help.

Lissu kwa sasa anaamini yeye ni mtu untouchable, above the Tanzania laws, he has large group of followers ready to rebel and that belief is growing as days go kwa sababu vyombo vya ulinzi wameamua ku entertain his thoughts tangia amerudi out of pity considering his plight but at some point he needs to come down to earth.

Baada ya kushindwa uchaguzi the extent of Lissu’s mental health problem will become obvious, to many people; time will tell.
Nani kakudanganya????

Private law firm can prepare a petition signed by good number of people to move ICC to initiate investigation on a country or certain people and ICC will do that!!!

Mtajua hamjui mwaka huu!!! CCM nyosheni mikono tu!!
 
Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.

Kisha wangejua ndio wanaharibu zaidi na wanamharibia mteja wao kwa kumtaja taja magufuli wangekaa kimya tu.

Maana magufuli huwa hajibizani na takataka. Huyo mteja wao mwenyewe kamtaja wee magufuli kwa majina yote na wala hajajibiwa hadi kaamua kujizungumzia yeye tu sasa.
Jiwe na TUME YAKE YA MFUKONI wasijaribu kuvuruga uchaguzi. Watuache tuchague Mgombea tumtakaye. Yeye si amefanya mengi kwa miaka mitano tu, wasiwasi wa nini sasa?

Demokrasia na iachwe ichukue mkondo wake..
 
Wataita sherehe ya kuchukua form, Mwinyi, Sharif Hamad, Membe, Lissu na Lipumba wote wamefanya.

Tatizo mmoja anajua sana kaamua kizunguka nchi nzima. Halafu mbona NEC awajasema lolote mbona anajishtukia.

Ukitaka kuona kanuni ingia kwenye website ya NEC zipo published.

Utamwambiaje mwenzio aingie website aone kanuni badala ya wewe kudokoa kipengere kinacho support utetezi wako?

Unajua ni kwa nini hujafanya hivyo?

Ni kwa sababu hata wewe hujui ni kipengere gani cha kanuni kimevunjwa na kwa hiyo una argue hapa kwa kutumia mazoea yako yasiyo na msingi wa kikanuni wala kisheria...!!
 
Msaada kwa tafasiri ya kiswahili tafadhali. Wengine tunaona maruwe ruwe tu. Hatutaki kupotoshwa.
 
View attachment 1545054
kama kweli magufuli na ccm yako mnapanga kufanya hiki kitu.... Mungu atawashughulikia ktk namna inayowafaa na mimi naomba mlaaniwe.

Na sio Magufuli pekee kushughulikiwa , ni nchi ya Tanzania yote... tutasemwa vibaya dunia nzima ili hali ni mtu mmjoa tu anayesababisha hayo-JPM na CCM yake... we ngoja wamkate, uchaguzi ufanyike na uchafuzi wa kimataifa uuanze ndio JPM , CCM na think tank yao yote watajua kwamba dunia ni tambala bovu...tutakuwa kama zimbwabwe very soon.. miaka 59 na bdao vinganganizi tu wa madaraka... huko chamani mwao, watu wamekatwa bila sababu za msingi.. kikiwaka , sijui watajificha wapi...
 
Then those who think we are heading into that direction have their stationed ambassadors to air that view first, not some law firm who keep issuing empty threats with the belief we are a nation gullibles from the advice of his sick client.
If those are empty threats fanyeni mnavyotaka basi then utaona kifuatacho itv!!!😂😂😂
 
Sasa akiachwa ndugubatajiona kama yupo juu ya sheria..lazima sheria na kanuni ziheshimiwe.. hii ni nchi sio kikundi cha watu.

Leo akiachiwa kwa hili kesho atafanya lile. Si umeona anavyojitamba mbele za watu kuwa "si mnajua mi mwanasheria ee"

Huyu anyooshwe tu ajue nchi si zaidi ya mtu au mabeberu wanaotoa backup.

Mgekuwa mnaandika hivyo JIWE anapovunja katika mgekuwa mmejitambua lakini anapoisigina katiba JIWE nyie ndio kwanza mnasifia juhudi!!
 
Hivi hao Amsterdam and partners LLP wanaweza kuwa na power kuliko taifa letu WATANZANIA? Mbona tunajihaibisha sana
 
Then those who think we are heading into that direction have their stationed ambassadors to air that view first, not some law firm who keep issuing empty threats with the belief we are a nation gullibles from the advice of his sick client.

I can assure you those are not empty threats; with time you will know that Tanzania is not an island but part of a larger international community!! Hamuwezu kuachwa mnawadhurumu watu haki yao ya msingi ya kumchagua wantakae kwa kutumia dola halafu mkabaki salama!!
 
Utamwambiaje mwenzio aingie website aone kanuni badala ya wewe kudokoa kipengere kinacho support utetezi wako?

Unajua ni kwa nini hujafanya hivyo?

Ni kwa sababu hata wewe hujui ni kipengere gani cha kanuni kimevunjwa na kwa hiyo una argue hapa kwa kutumia mazoea yako yasiyo na msingi wa kikanuni wala kisheria...!!
NEC Website

Link hiyo hapo website yao it’s too slow for my patients
 
Back
Top Bottom