Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Hizi barua zitafsiriwe ili Watanzania wote waelewe.
 
I can assure you those are not empty threats; with time you will know that Tanzania is not an island but part of a larger international community!! Hamuwezu kuachwa mnawadhurumu watu haki yao ya msingi ya kumchagua wantakae kwa kutumia dola halafu mkabaki salama!!
There are international treaties as a nation we abide to those we have subscribed too.

Lakini ata wao wanajua kila nchi inasheria zake ambazo hawana mipaka nazo sio kwamba awaoni Lissu anavunja taratibu halali za nchi.
 
Hakuna uhuru wa kuongea, unataka mnichape mvua za risasi au kunipoteza kama akina Ben Saanane mumbwa wewe?
Huyo anayepita huko anaongea na kutukana kashikwa na nani we jimbi?
 
Hapo ndipo chadema wanapokosea!time will tell .nchi haigawi kama maharagwe
Jiwe na TUME YAKE YA MFUKONI wasijaribu kuvuruga uchaguzi. Watuache tuchague Mgombea tumtakaye. Yeye si amefanya mengi kwa miaka mitano tu, wasiwasi wa nini sasa?

Demokrasia na iachwe ichukue mkondo wake..
 
There are international treaties as a nation we abide to those we have subscribed too.

Lakini ata wao wanajua kila nchi inasheria zake ambazo hawana mipaka nazo sio kwamba awaoni Lissu anavunja halali za nchi.
Kwa iyo Kama sheria zenu za ndani zinaruhusu watu wauawe kwa ukilaza wako unadhani hawawezi kuingilia???
 
There are international treaties as a nation we abide to those we have subscribed too.

Lakini ata wao wanajua kila nchi inasheria zake ambazo hawana mipaka nazo sio kwamba awaoni Lissu anavunja taratibu halali za nchi.

Akifanya JIWE hajavunja taratibu lakini same thing akifanya Lissu anavunja taratibu; that is not having a level playing field!!
 
Mbona sielewii? Tatizo mabarua yenyewe ni Photoshop
 
CCM wanataka kuleta mbinu zao za zama za kale za mawe
Wametaitishwa mwaka huu. Kama hawajaweka mpira kwapani sijuiii

Kigogo 2014 keshaingilia mfumo wao waliokuwa wameuandaa kwa ajili ya kuiba kura kwenye uchaguzi huu😂😂😂

Huku Amsterdam kawabana koo

Kule Kamati ya Mambo ya nje ya Marekani wamewawashia taa

Alafu Shujaa Tundu Lissu anawapumulia na nguvu ya Umma 😂😂😂😂

CCM watajua hawajui mwaka huu!!!
 
Huyo anayepita huko anaongea na kutukana kashikwa na nani we jimbi?
Hatukani, anatuelezea namna mlivyo amuru achapwe zile mvua za risasi mchana kweupe. Huo ndio utawala bora? nchi hii sio mali ya CCM pekee sheiza.
 
Back
Top Bottom