samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Hii ndio shida ya Africa, matatizo yetu tujitahidi kupambana na kumalizana wenyewe...Akili hizi za kutegemea weupe ndio yale yale ya Trump anayesema waAfrica hawawezi hata kuchukua maamuzi dhidi ya matatizo yanayowakabili..
Wazungu nani aliwasaidia kutatua matatizo yao? kama sio wao kwa wao walimalizana mpaka utaratibu na mambo yakakaa sawa na kuanza kuheshimiana..
Tupambane wenyewe kama kuumizana tuumizane na kama kuuana tuuane wenyewe mpaka tutakapoheshimiana lakini tumemalizana wenyewe na sio Wazungu waje eti kutusaidia pumbavu kabisa pambaneni wenyewe humu humu..
Wazungu nani aliwasaidia kutatua matatizo yao? kama sio wao kwa wao walimalizana mpaka utaratibu na mambo yakakaa sawa na kuanza kuheshimiana..
Tupambane wenyewe kama kuumizana tuumizane na kama kuuana tuuane wenyewe mpaka tutakapoheshimiana lakini tumemalizana wenyewe na sio Wazungu waje eti kutusaidia pumbavu kabisa pambaneni wenyewe humu humu..