Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Wanasaccos na mabeberu ndiyo wanahangaika sana mara mabeberu wameandika barua JF sijui kwa rais. Sisi tunataka angombee ili 28/10/2020 akiona matokeo afe kihoro kabisa arudi kwao Ubelgiji akawaone familia yake akiwa na maumivu ya kutosha!!

Hapo ndipo waTanzania wote bila kujali vyama tunataka, mpambano ktk kilinge cha sanduku la kura siyo mpambanaji mmoja kujaribu kukwepa pambano hili la karne ktk demokrasia kwa kutafuta afueni asipambanishwe.

Dunia nzima inahamu na pambano hili la mgombea wa CCM vs mgombea wa CHADEMA . Hakuna nafasi ya kukimbia pambano hili ndani ya sanduku la kura
 
Huyu Amsterdam alisikilizwa alipisema Tl asikamatwe akitua si ndio? Akisikilizwa tena ntaamini anayezungumza ni mtu tofauti kabisa na anavyojipambanua.
Hakusikilizwa..ila serikali imemuacha tu afurukute..maana si uliona hata lema alisema alimuuliza unarudi huogopi kukamatwa.
 
Hapo ndipo waTanzania wote bila kujali vyama tunataka, mpambano ktk kilinge cha sanduku la kura siyo mpambanaji mmoja kujaribu kukwepa pambano hili la karne ktk demokrasia kwa kutafuta afueni asipambanishwe.

Dunia nzima inahamu na pambano hili la mgombea wa CCM vs mgombea wa CHADEMA . Hakuna nafasi ya kukimbia pambano hili ndani ya sanduku la kura
Tunafuata sheria za TZ kama amevunja sheria yoyote ya uchaguzi lazima ashughulikiwe kisheria hiyo ndiyo demokrasi
 
Ni ile ukiniacha unaniogopa, ukinipiga unanionea
Hiyo barua ni kwa ajili ya mtu kama wewe usioweza kufikiri.

Tatizo lenu serikali ikisema itumie busara na kuachia tu watu wafanye mambo ata kama kinyume na sheria mnaanza kudai mnaogopwa sijui Amsterdam kasaidia etc with nonsense.

Wakichukua hatua mnaonewa ni shida tupu; ni mahakama gani kwa mfano huyo Amsterdam anaweza fungua kesi unadhani?
 
Tunafuata sheria za TZ kama amevunja sheria yoyote ya uchaguzi lazima ashughulikiwe kisheria hiyo ndiyo demokrasi

Hapa hata mjaribu vipi bondia wenu wa kisiasa ashindwe kupata mpinzani hilo haliwezekani tumefikia point of no return, pambano lazima liwepo mtake msitake hakuna jinsi, mnaogopa nini wakati watazamaji tushajaa ktk ukumbi kushuhudia pambano, mleteni mpambanaji wenu mwenye sifa kedekede ndani ya nchi na mashabiki wengi nje ya nchi tangu 2015.
 
P
Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.

Kisha wangejua ndio wanaharibu zaidi na wanamharibia mteja wao kwa kumtaja taja magufuli wangekaa kimya tu.

Maana magufuli huwa hajibizani na takataka. Huyo mteja wao mwenyewe kamtaja wewe Magufuli kwa majina yote na wala hajajibiwa hadi kaamua kujizungumzia yeye tu sasa.
Hivi unaamini Kuna mhimili wa mahakama Tanzania?
Mihimili yote imeungana na kuwa mmoja au imekufa umebaki mmoja
 
Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.

Kisha wangejua ndio wanaharibu zaidi na wanamharibia mteja wao kwa kumtaja taja magufuli wangekaa kimya tu.

Maana magufuli huwa hajibizani na takataka. Huyo mteja wao mwenyewe kamtaja wewe Magufuli kwa majina yote na wala hajajibiwa hadi kaamua kujizungumzia yeye tu sasa.
Waambie hao shetani wauaji wa Lissu kwamba mwaka huu kuzimu watarudi hakuna jiwe litakaoachwa bila kugeuzwa mwambie huyo bwana aende kwa rafiki yake Kagame ampige tafu kwenye hili, kwa hiyo ulivyo mpuuzi umeona sasa hivi upepo unafunua nyeti za kuku ndo unanyanyua mdomo kwamba mahakama inaingiliwa mbona akati Lissu anafanyiwa unyama hukuuliza mahakama wala usalama wa taifa chochote juu ya uchunguzi wa Lissu?

Jipange kwenda kuchunga ng'ombe kwenu huu mwaka wenye akili msio wataka wametimba ndani ya nyumba mna hali ngumu.
 
Nimeisoma hii barua mpaka mwisho...

Barua imeandikwa kiweledi haswa na imebeba amri na maelekezo....

Halafu inaeleza mambo ya ndani hasa kiasi cha mtu kujiuliza nani anawataarifu hawa kinachoendelea ktk corridor za usalama za Ikulu ya Magufuli?...

Ukisoma barua hii NENO kwa NENO utagundua kuwa, hawa watu wana dhamira ya kweli kwa njia zozote kumlinda mteja wao....

Na ni kama Amsterdam & Partners LLP ni waanzisha varangati tu, lakini watendaji halisi wako sehemu wala hawajapanua mdomo....

Kwa akina sisi, tumejua hata ambayo tulikuwa hatuyajui kwa kweli katika sakata hili....

Kumbe kesi yake ya "sedition - uchochezi" ya trh 26/8 imepangwa hiyo tarehe kwa makusudi kabisa na ndani yake kukiwa na nia ovu au "collusion" kati ya Ikulu (serikali), Mahakama na NEC...!!

Na kumbe pingamizi la "Ugombea Urais wa Tundu Lissu" tayari lipo, lilikwisha kuandaliwa siku nyingi.....

Na kwamba, siku hiyo hiyo atakayokuwa mahakamani, ndiyo siku hiyo hiyo atatakiwa na NEC kuja kujitetea kwa nini asiondolewe sifa za ugombea Urais kwa sababu watakazokuwa nazo waweka pingamizi wake....

Na huko mahakamani tarh 26/8 kumbe wamepanga kumuweka ndani (under detention) kwa siku kadhaa ili tu ashindwe kwenda kujitetea Dodoma kwenye NEC dhidi ya pingamizi lake, na muda uwe umekwisha kisha wanamwachia...

Baada ya muda kwisha wa kujitetea, NEC hawatakuwa na kizuizi tena kumwondoa ktk orodha ya wagombea kwa sababu watasema "hukuja kujitetea dhidi ya pingamizi lako"....

Loooh, huu ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu sana ambao mamlaka za serikali ya Tanzania zinafanya eti kwa sbb ya mtu mmoja anayeitwa - Magufuli....

Nyuma ya mpango huu kwa kweli hakuna sababu zozote za kutaka kumzuia Tundu Lissu kutumia haki yake ya kiraia ya kuchaguliwa. Ni kwa sababu tu Magufuli hataki changamoto, hataki ushindani na hususani ushindani wa mtu sampuli ya Lissu....!!

Need we say more?

Absolutely nothing!!

Mimi sina shaka kuwa, hili jaribio nalo tayari limeshashindwa vibaya sana....!!!

Yawezekana uko sahihi sana Chief ila hii;....

(”Barua imeandikwa kiweledi haswa na imebeba amri na maelekezo”) .... [emoji118][emoji118][emoji118]statement yako hapo imenifanya nirudie kuisoma tena hiyo “barua ya kisheria “ kwa mara ya pili!!

Bado sijaona uhalali wake!

“AMRI na MAELEKEZO kutoka kwa nani hasa kwa mujibu wa sheria na taratibu + katiba ya nchi ya Tanzania??

#MwananchiHuru.
 
Tar 30/7 kesi ilihairishwa mpaka 26/8 inamaana wakili wa lisu hakumpa taarifa mteja wake au hakufanya jambo kesi ihairishwe maana ratiba ya tume inaeleweka......
Nawasiwasi sana na hizo mabarua za kijinga, tuwe wa kweli ni lini tume imesema itamuengua lisu au huwa ni speculation za mitandaoni tuu..
Rudi burigi ukachunge ng'ombe wewe acha kubwabwaja huu mwaka upepo utapuliza tutaona nyeti za kuku hadi utumbo nyambafu mnatesa watu mkadhani kwasababu hamtoki nje ya nchi mkajua watu wote ni washamba siyo? kaa mkao utapiga sana kelele lakini kila hila mwaka huu itakuwa wazi na taarifa zinatoka hukohuko zikiwa na moto hazija poa ndo ujue hata waliomo ndani hawautaki upuuzi mnaoufanya.
 
P
Hivi unaamini Kuna mhimili wa mahakama Tanzania?
Mihimili yote imeungana na kuwa mmoja au imekufa umebaki mmoja
Haiwezi kusambaratika kama mnavyotaka ninyi..hii yote inategemeana, ni lazima iwe pamoja.
 
Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.

Kisha wangejua ndio wanaharibu zaidi na wanamharibia mteja wao kwa kumtaja taja magufuli wangekaa kimya tu.

Maana magufuli huwa hajibizani na takataka. Huyo mteja wao mwenyewe kamtaja wewe Magufuli kwa majina yote na wala hajajibiwa hadi kaamua kujizungumzia yeye tu sasa.
Magu hawezi kujibu HOJA za Lisu, kipi anaweza kujibu? Amiri Jeshi Mkuu miaka 3 vyombo vyako vya ulinzi na usalama vimeshindwa kupata ufumbuzi wa a daylight attack! Kipi JPM atajibu! Mwanyika mlimkuta na hatia ya uhujumu uchumi kuwa ameshirikiana na BARRICK, either kwenda jela miezi 4 au kulipa 1.5 bilioni chini ya utaratibu wa DPP, leo mmempa nafasi ya kugombea Ubunge, kipi JPM ataweza kujibu?!

Rais wetu anatatizo la 'kukurupuka', hana moyo wa kukabiliana na HOJA ni mtu wa visasi na malipizo.
 
Kwenu Wana Lumumba,

Hakuna kitu kama hicho cha kuenguliwa, Tundu Lissu lazima agombee.

Mlisema hatakuja, kaja toka Belgium.

Mlisema msaliti hana mvuto wa kisiasa, imebainika siyo kweli.

Mlisema siku ya Sikukuu ya Nane Nane Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Dodoma itakuwa imefungwa, Tundu Lissu alikuta ipo wazi.

Mlisema hati yake ya Kiapo haitasainiwa na Jaji wa Mahakama Kuu Dar es Salaam , jana fomu zake za kiapo zimesainiwa.

Mmepanga kumuita Kisutu tarehe 26 August 2020, Tundu Lissu hawezi kutokea kwa udhuru wa jambo muhimu ktk mchakato wa kuelekea uchaguzi 2020.

Mnasema tarehe 26 August 2020 hatatambuliwa kama mgombea rasmi wa Urais kupitia CHADEMA 2020, Tundu Lissu atatambuliwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa na ndiyo itakuwa siku ya kusitisha tuhuma zote za mahakamani mpaka baada ya uchaguzi tarehe 28 Oktoba kumalizika.

Wagombea wanaotambuliwa na Tume ya Uchaguzi 26 Agosti tuhuma za mashtaka yao yatasitishwa kwa kinga maalum ili sisi waTanzania tuweze kushiriki kumpigia kura maana tuhuma ya kesi siyo kigezo cha kumuondolea haki yake kuchaguliwa kwani tuhuma siyo ukweli mpaka pale tu atakapo hukumiwa ndiyo sifa inakosekana.
Umeandika vizuri kweli mpaka rahaa wao wanafikiri mahakani ni lazima uende
 
Magu hawezi kujibu HOJA za Lisu, kipi anaweza kujibu? Amiri Jeshi Mkuu miaka 3 vyombo vyako vya ulinzi na usalama vimeshindwa kupata ufumbuzi wa a daylight attack! Kipi JPM atajibu! Mwanyika mlimkuta na hatia ya uhujumu uchumi kuwa ameshirikiana na BARRICK, either kwenda jela miezi 4 au kulipa 1.5 bilioni chini ya utaratibu wa DPP, leo mmempa nafasi ya kugombea Ubunge, kipi JPM ataweza kujibu?!

Rais wetu anatatizo la 'kukurupuka', hana moyo wa kukabiliana na HOJA ni mtu wa visasi na malipizo.
Kwani akikutwa na kesi na akahukumiwa na kama amemaliza hukumu kuna tatizo akigombea nafasi yoyote.?

Vyombo vya ulinzi na usalama hata vikiwapa matokeo itasaidia nini wakati nyie mna majibu yenu tayari kichwani?
 
Hiyo barua wameiwasilisha ikulu tayari au taarifa za mitandao tu??
Unafikiri hata kama imeshawasilishwa ikulu itasema imepokea barua, subutu!! Ila hata kamtandao ka uwongo kangechapisha tz yaingia uchumi wa juu hata kama wanajua uhalisiana wa maisha yetu utasikia mapambia na vibwagizo juu.
 
Naona wauaji wa Lisu mnavyohaha na kuhangaishwa na laana ya roho mbaya hakika mmekwaa kisiki endeleeni kumpa nyangogo pongezi hewa.
Kisiki gani Sasa
Hyo barua ya kipuuzi
Tz NI nchi huru yenye sheria zake Wala haiwezi kuingiliwa
Endeleeen kujipa moyo magu amewakomesha na miaka mingine mitano yaja
 
Unafikiri hata kama imeshawasilishwa ikulu itasema imepokea barua, subutu!! Ila hata kamtandao ka uwongo kangechapisha tz yaingia uchumi wa juu hata kama wanajua uhalisiana wa maisha yetu utasikia mapambia na vibwagizo juu.
Sasa hiyo barua tutaaminije kama ya ukweli??
 
Back
Top Bottom