Ungewashauri wale waliompiga risasi hivi ...
Kwamba kwanini walifanya?
Ungukuwa na maana Sana kuliko upumbavu ulioandika.
Rais wako ni Lissu utake usitake October.
Nakuona mtekaji na muuaji ktk ubora wako nakupa tu taarifa kwamba baada ya uchaguzi utarudi kwenu gambosi kuchunga ng'ombe maana ulihisi unaongoza ng'ombe sasa kipindi hiki utakumbushwa kwamba ulikuwa unaongoza binadamu wenye akili timamu tena wengine wamekuzidi mbaali