Sidhani kama nisahihi kufanya kampeini mapema kwa style ya lissu. Matusi yakurudieSafi, huyu JIWE ni mpuuzi sana. Tamaa yake ya madaraka isituingize kwenye machafuko, amelazimisha tuingie kwenye uchaguzi mkuu tukiwa na TUME YAKE YA UCHAGUZI ALIYOIWEKA MFUKONI bado hajatosheka tu? Puumbavu sana.
Kama humu nchini hamna haki,watu wakimbilie wapi?Kwa hiyo na wewe unashabikia hayo mataifa yatuchagulke raisi!! Ili baadae huyo rais awalipe nini kwa huo wema wao!! Kondoo sana wewe.
Tena hizo barua kama ni za kweli ndiyo zinamharibia huyo mpumiliwa kisogoni wenu. Zinamuondolea imani kwa wapiga kura
Hifadhi maneno, yeye siyo yule wa namwachia Mungu. Maana mmezoea vya kunyonga.Tutakutana hapa tarehe 1 November.
Usibadili ID tu... Lissu hawezi kushinda huu uchaguzi hata ukihesabu kura wewe.
Namuona kama kijana anayejifunzia mpira uzeeni. Anaanza kwa speed kujikimbiza uwanjani dakika ya 30 kachoka.
"Weka mbali na watoto"Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
======
View attachment 1545058
View attachment 1545059
View attachment 1545060
Halafu Kuna VIONGOZi wa Dini wanamtetea jiwe.Nimeisoma hii barua mpaka mwisho...
Barua imeandikwa kiweledi haswa na imebeba amri na maelekezo....
Halafu inaeleza mambo ya ndani hasa kiasi cha mtu kujiuliza nani anawataarifu hawa kinachoendelea ktk corridor za usalama za Ikulu ya Magufuli?...
Ukisoma barua hii NENO kwa NENO utagundua kuwa, hawa watu wana dhamira ya kweli kwa njia zozote kumlinda mteja wao....
Na ni kama Amsterdam & Partners LLP ni waanzisha varangati tu, lakini watendaji halisi wako sehemu wala hawajapanua mdomo....
Kwa akina sisi, tumejua hata ambayo tulikuwa hatuyajui kwa kweli katika sakata hili....
Kumbe kesi yake ya "sedition - uchochezi" ya trh 26/8 imepangwa hiyo tarehe kwa makusudi kabisa na ndani yake kukiwa na nia ovu au "collusion" kati ya Ikulu (serikali), Mahakama na NEC...!!
Na kumbe pingamizi la "Ugombea Urais wa Tundu Lissu" tayari lipo, lilikwisha kuandaliwa siku nyingi.....
Na kwamba, siku hiyo hiyo atakayokuwa mahakamani, ndiyo siku hiyo hiyo atatakiwa na NEC kuja kujitetea kwa nini asiondolewe sifa za ugombea Urais kwa sababu watakazokuwa nazo waweka pingamizi wake....
Na huko mahakamani tarh 26/8 kumbe wamepanga kumuweka ndani (under detention) kwa siku kadhaa ili tu ashindwe kwenda kujitetea Dodoma kwenye NEC dhidi ya pingamizi lake, na muda uwe umekwisha kisha wanamwachia...
Baada ya muda kwisha wa kujitetea, NEC hawatakuwa na kizuizi tena kumwondoa ktk orodha ya wagombea kwa sababu watasema "hukuja kujitetea dhidi ya pingamizi lako"....
Loooh, huu ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu sana ambao mamlaka za serikali ya Tanzania zinafanya eti kwa sbb ya mtu mmoja anayeitwa - Magufuli....
Nyuma ya mpango huu kwa kweli hakuna sababu zozote za kutaka kumzuia Tundu Lissu kutumia haki yake ya kiraia ya kuchaguliwa. Ni kwa sababu tu Magufuli hataki changamoto, hataki ushindani na hususani ushindani wa mtu sampuli ya Lissu....!!
Need we say more?
Absolutely nothing!!
Mimi sina shaka kuwa, hili jaribio nalo tayari limeshashindwa vibaya sana....!!!
Mbona mnapenda kupotosha kama vile wewe peke yako ndio unasikia anachokiongea Lissu. Chuki zenu dhidi ya Lissu zisiwafanye mataahira. Lissu alisema akiibiwa kura hatakubali. Atadai haki yake. Moja ya njia ya kudai haki yake ni kuingiza watu barabarani. Sasa wewe kwa maksudi unapotosha eti akishindwa ataingiza watu barabarani, you are pathetic.Nyumbu bwana toka 2016 mnatamani Tanzania iwe Kama Zimbabwe, itengwe na jumuia ya kimataifa, inyimwe misaada na mikopo lakini haijatokea.
Kwenye korona mlitamani watu wafe kwa maelfu eti kisa Magufuli kakataa lockdown lakini Mungu katuokoa na hiyo dhahama.
Hata hili mnaloshabikia litapita tu Kama upepo, Tanzania yetu itabaki salama na Magufuli atamaliza miaka yake mitano kwa mujibu wa Katiba yetu.
Ukiangalia ki uhalisia Lisu amekuja kwa Shari na sio kwa nia njema ya kuwaletea watanzania maendeleo. Mikutano yote aliyofanya katika kutafuta wadhamini hajaelezea hata kidogo ilani ya chama chake, yeye sera yake ni kumtukana Magufuli na kukashifu maendeleo aliyofanya.
Lisu anasema endapo atashindwa atapeleka watu barabarani, kwa hiyo tayari ana wasiwasi Kama atashinda na njia pekee anayoona itamsaidia ni kuanzisha vurugu.
Huyu mtu ni hatari Kwanza hapo alipo amehakikishiwa uraia wa ubelgiji kuwa akiwasha Moto huku akiona hapakaliki yeye na familia yake wana mahala salama pa kuishi, sisi kwa ujinga wetu tunaweza kuingia kichwa kichwa na kuharibu amani yetu na hatuna pa kukimbilia.
Acha kuiingiza Tanzania nzima kwenye matatizo ya Mtu binafsi.Hivi hao Amsterdam and partners LLP wanaweza kuwa na power kuliko taifa letu WATANZANIA? Mbona tunajihaibisha sana
AfadhariTusipokua makini nchi itaongozwa na hawa mabeberu
Ndo nani huyu Amsterdmi
Rudia kuisoma hiyo barua kwa makini, utapata majibu ya ulihokiuliza. Mihemko haitawaponya safari hii.Hiyo barua ni kwa ajili ya mtu kama wewe usioweza kufikiri.
Tatizo lenu serikali ikisema itumie busara na kuachia tu watu wafanye mambo ata kama kinyume na sheria mnaanza kudai mnaogopwa sijui Amsterdam kasaidia etc with nonsense.
Wakichukua hatua mnaonewa ni shida tupu; ni mahakama gani kwa mfano huyo Amsterdam anaweza fungua kesi unadhani?
Kwani kwa sasa inaongozwa na nani?
Unajua wewe jamaa usinifanye nikazimia kwa furaha,nataka kuona Tanzania mpya.Wametaitishwa mwaka huu. Kama hawajaweka mpira kwapani sijuiii
Kigogo 2014 keshaingilia mfumo wao waliokuwa wameuandaa kwa ajili ya kuiba kura kwenye uchaguzi huuπππ
Huku Amsterdam kawabana koo
Kule Kamati ya Mambo ya nje ya Marekani wamewawashia taa
Alafu Shujaa Tundu Lissu anawapumulia na nguvu ya Umma ππππ
CCM watajua hawajui mwaka huu!!!
Kwa matokeo ya kura za NEC, yes. Ila kwa kura za wananchi atapata.[emoji23] [emoji23] Baada ya oktoba utarudi hapa na kusema tuneibiwa.
Kwa taarifa yako tu Lisu hapati hata 20% ya kura
Hii nchi huru kama we unajiona upo utumwani unawezq kuhami nchi jirani. Na hao wanaotutafuta wapo siku zote tokea enzo za mwalimu kasome historia tuliwashughulikia nao na tutaendelea kushughulika nao siku zote.nchi huru ok siku nyingine mkuu sema wewe na famili yako mko huru alau yakoroge tuone , hizi choko choko sio za kubeza kama mtu waangalia mbali , anatafutwa mtu hapa taratibu na why tufike huko , mbona hata sababu sioni at , kama wanaotoa majibu ya watainiwa wa urais ni wananchi why tunapata shida
Hizi ndio sababu Lissu anajiaminisha watanzania wote hamnazo kama ilivyo kwa wafuasi CDM na kuja na mambo ya kitoto kama haya.Rudia kuisoma hiyo barua kwa makini, utapata majibu ya ulihokiuliza. Mihemko haitawaponya safari hii.