Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Hii biashara imeshamalizika huku mkoani kwetu shughuli zinaendelea Kama hakuna kilichowahi tokea, wanaopanga nyanya na vitunguu pembezoni mwa barabara wamepanga Kama kawaida. Kelele zimebaki JF tu. Raia wameshasahau Kama kulikuwa na uchaguzi mkuu. Kila mtu Yuko buzy na shughuli yake.
Watu mishipa ya koo inawatoka JF tu kwamba CCM itaona itaona. Hayo matamko yapo tu miaka yote. Anaetaka kuingia road kazi kwake tu. Viongozi ninaowataka waote wameshinda. Deal done
 
Huyu Amsterdam ndo mwokozi wa makamanda?
teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Halafu vipi jirani umesikitika kuwa wale watu wako wa chadema hawataonekana tena kwenye vilinge?
 
Jiwe litaishi vzr tu tena maisha ya tabaka la juu zaidi..ila me nawewe ndio tutaumia...Yani nikiona dua ya wapinzani imepata jawabu,siwezi rudi tz tena.Hamjui mlitendalo
Wananchi wakiminywa sawasawa ndio watapata akili hawatamsifu tena Mfalme maana Sasa hivi kinachompa jeuri Ni hawa praise team ambao Kila kitu Ni kusifu
 
Matokeo yao mchakamchaka wameenda wao...wanalia tuu hakuna wa kuwafuta machozi.

Hongera CCM

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Na zile kesi zianze kuskilizwa sasa, na hukumu zitolewe
 
Jumuiya ya Madola haina la kufanya kwa Tanzania. Isitoshe Tanzania haijawahi kuwa koloni la Uingereza. Sisi tupo pale kwa heshima kama Rwanda.

Lakini pia kwa mfumo wa Tanzania ni ngumu sana kubanwa na upande moja. Tanzania ni nchi ya kijamaa ambapo siasa zake na mfumo wake wa uendeshani unafanana na wa nchi zilizokuwa za kijamaa ikowemo China ambayo haielewani na nchi za magharaibi.

Ulaya na Amerika wakibana Tanzania itaegemea Uchina na Urusi haitakuwa mbali sana. Tanzania ni kama dogo janja lenye rasilimali nyingi. Hivyo ukinuna wewe wenzio wala.
 
U
Wacha dunia nzima ijue uhuni wao.

Halafu kesho muanze kuwalilia njaa hao mabeberu, mtavuna mlichokipanda wajinga.
Utateseka saana, niliwambia kabla mkifikish kura milioni tatu ni bahati saana
Mkabisha, sasa mmeanza kubinuka binuka,
Mara madola, mara jumuiya ya kimataifa?
Huyo Amsterdam ana tapatapa sasa maana haoni malengibyake yakitimia.
Sisituna mchora tu kwa mbaaali na kibaraka wao.
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Walizuia zile za millennium za umeme wa lea mwaka 2015 lakini umeme umeenda vijiji elfu 7 na zaidi,
Wajifarague tena waone maajabu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ataweza kukimbia na miguu hio we don't need mzungu the so called Amsterdam kutuamulia uchaguzi wetu mawakili ni kama waganga wa kienjeji hata kama hushindi atakuambia utashinda
Tunajua Lissu walikutana na huyu jamaa kuwa aje Tz atakuwa rais amlipe baadae.

Sasa imebackfire sijui atalipa na nini.

Kila kampeni alitishia kuwa atampigia Bob kana kwamba ni baba yake ,hio ndo ilkuwa sera yake pamoja na uwanja wa chato.

Nina uhakika ukienda kijijini uliza who is Tundu Lissu hawamfahamu uliza Magufuli utaambiwa.
Amekaa Belgium 3 years
Anakuja kutuambia barabara,hospital,umeme,ndege na reli sio maendeleo ya watu.Sasa nashangaa maendeleo ya watu ni nn wakati huo huo anatumia barabara zetu kwa kampeni.

Maana hii Lissu still recovering from bullets trauma his thinking is limited therefore doesn't qualify him to be a president.
 
Hii miaka 5 mtatamani mchemshe Tanzanite yenu mle! Mdogo mdogo tutaekewana tu! Balozi wa Marekani katamka tu mmewaachia upinzani Z'bar!
 
Hii miaka 5 mtatamani mchemshe Tanzanite yenu mle! Mdogo mdogo tutaekewana tu! Balozi wa Marekani katamka tu mmewaachia upinzani Z'bar!
Kumbe wewe siyo mtanzania.

Hamad ameshashikwa mara nyingi na kuachiwa; hakuachiwa kwa sababu ya ubalozi wa Marekani!. Usiwe mtegemezi wa mataifa ya nje sana kama kweli wewe ni mtanzania mwenzetu.
 
Hacha ujinga wewe fanyakazi
 
Kumbe wewe siyo mtanzania.

Hamad ameshashikwa mara nyingi na kuachiwa; hakuachiwa kwa sababu ya ubalozi wa Marekani!. Usiwe mtegemezi wa mataifa ya nje sana kama kweli wewe ni mtanzania mwenzetu.
Mpuuzi sana. Anaongea kama si mtanzania
 
Mkuu hongera na international business yako, pambana kama huyo bwana Amsterdam muda bado upo
 
Shule zote nilizopita nimeacha historia ambayo haiwezi kufutika.
Swala la historia ni sawa, maana hata yule wa mwisho darasani kaacha history shuleni. Tatizo ni kwamba historia yako inafaida gani kwa shule uliyemaliza na jamii inayokuzunguka.
 
Me nimetoa maoni yangu kama mTanzania, nikiweka amani kama kipaombele cha hoja yangu, shida nini asee, huo uccm, utanga, uwizi unayaongea wewe hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…