teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!Huyu Amsterdam ndo mwokozi wa makamanda?
Wananchi wakiminywa sawasawa ndio watapata akili hawatamsifu tena Mfalme maana Sasa hivi kinachompa jeuri Ni hawa praise team ambao Kila kitu Ni kusifuJiwe litaishi vzr tu tena maisha ya tabaka la juu zaidi..ila me nawewe ndio tutaumia...Yani nikiona dua ya wapinzani imepata jawabu,siwezi rudi tz tena.Hamjui mlitendalo
Huyu Ni Nani?View attachment 1616057
Kazi inaendelea matamko tu
Matokeo yao mchakamchaka wameenda wao...wanalia tuu hakuna wa kuwafuta machozi.
Hongera CCM
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Utateseka saana, niliwambia kabla mkifikish kura milioni tatu ni bahati saanaWacha dunia nzima ijue uhuni wao.
Halafu kesho muanze kuwalilia njaa hao mabeberu, mtavuna mlichokipanda wajinga.
Walizuia zile za millennium za umeme wa lea mwaka 2015 lakini umeme umeenda vijiji elfu 7 na zaidi,Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Ataweza kukimbia na miguu hio we don't need mzungu the so called Amsterdam kutuamulia uchaguzi wetu mawakili ni kama waganga wa kienjeji hata kama hushindi atakuambia utashinda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Soya ipi?
Ungekuwa na ufahamu mdogo tu ungetambua usivyoelewa mambo.
Hiyo soya isiyojaa kibaba unamuuzia mchina, halafu unaagiza wakuletee samaki waliogandishwa, badala ya kuwafuga mwenyewe?
Hili nalo ni jambo la kujivunia?
Kumbe wewe siyo mtanzania.Hii miaka 5 mtatamani mchemshe Tanzanite yenu mle! Mdogo mdogo tutaekewana tu! Balozi wa Marekani katamka tu mmewaachia upinzani Z'bar!
Hacha ujinga wewe fanyakaziNchi iko njia panda kwa sasa hivi. CCM msishrehekee sana ushindi maana hatujui ya kesho. Mungu ndiye anajua tu na ndiye mhukumu. Kikombe cha uovu kikijaa Mungu anatumaga malaika kuja kuchungulia kinachoendelea na hapo ndipo tutajua kuna Mungu anayeishi.
Mpuuzi sana. Anaongea kama si mtanzaniaKumbe wewe siyo mtanzania.
Hamad ameshashikwa mara nyingi na kuachiwa; hakuachiwa kwa sababu ya ubalozi wa Marekani!. Usiwe mtegemezi wa mataifa ya nje sana kama kweli wewe ni mtanzania mwenzetu.
Mkuu hongera na international business yako, pambana kama huyo bwana Amsterdam muda bado upoHuy
Huyo mtu unamwogopea nini ni binadamu kama ww tu, tofauti ni kwamba yeye kajitoa ufahamu wa kujiita mwanasheria wa kimataifa eti kwa vile kasoma international law kama tu professor alivyo jiita professor J. Kwa hivyo na mimi niliyesoma International Business utaniitaje?
Swala la historia ni sawa, maana hata yule wa mwisho darasani kaacha history shuleni. Tatizo ni kwamba historia yako inafaida gani kwa shule uliyemaliza na jamii inayokuzunguka.Shule zote nilizopita nimeacha historia ambayo haiwezi kufutika.
Me nimetoa maoni yangu kama mTanzania, nikiweka amani kama kipaombele cha hoja yangu, shida nini asee, huo uccm, utanga, uwizi unayaongea wewe hayo.Ni elimu au umbumbu? Hizi lugha jumuishi una uhakika gani ni sahihi?
Kumbuka ipo tofauti kubwa baina ya:
1. uCCM na uTanzania
2. uLb7 na uTanzania
3. uTaga na uTanzania
4. uWizi na uTanzania
5. uUwaji na uTanzania
6. Nk.
Tafadhali acha kuongelea na ambao hawajakutuma
Hahahahaha 😆Humu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura...