Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Kichapo Cha shoga mwizi Kiko pale pale. Hata mtukane baba zenu uchaguzi tayari subirini 2025.
Kichapo kipi? Uchaguzi upi? Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Nchi iko njia panda kwa sasa hivi. CCM msishrehekee sana ushindi maana hatujui ya kesho. Mungu ndiye anajua tu na ndiye mhukumu. Kikombe cha uovu kikijaa Mungu anatumaga malaika kuja kuchungulia kinachoendelea na hapo ndipo tutajua kuna Mungu anayeishi.
 
Nilishawahi ku comment mahali kuwa 2020 ndio mwisho wa Chadema na October, Chadema hakitakuwa chama kikuu cha upinzani
 
Hivi wewe umewahi kupigiwa simu na mkuu wa college yako chuoni ulikokuwa unasoma? Mimi nimewahi kupigiwa simu na mkuu wa college fulani mara baada ya, kufanya mtihani fulani wa UE na wenzangu nina 100 anayefuata ana 80.
Labda ndotoni maana sio kwa akili hizi
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Akafilie mbali huyo gabacholi! Watanzania wanaojitambua wameshaamua!!!!
 
Kateni misaada na mikopo tuone Jiwe litafika wapi.
Jiwe litaishi vzr tu tena maisha ya tabaka la juu zaidi..ila me nawewe ndio tutaumia...Yani nikiona dua ya wapinzani imepata jawabu,siwezi rudi tz tena.Hamjui mlitendalo
 
IMG_5789.png

Kazi inaendelea matamko tu
 
Tundu Lissu wapeleke mchaka mchaka [emoji23]
Matokeo yao mchakamchaka wameenda wao...wanalia tuu hakuna wa kuwafuta machozi.

Hongera CCM

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Haa haaa haaa. AYATOLLAH TUNDU AMSTERDAM
 
Wewe mama ni mgogo nini?? Unapenda msaada sana. Hata wanao unawahimiza wawe tegemezi namna hiyo kwa kila rasilimali tulizonazo hatustahili kabisa kusaidiwa ni basi tumekua na tamaduni za kishenzi kila kitu kuombaomba wakati rasilimali tunazo emu wahimize vijana wafanye kazi tuondokane na hulka za kipumbavu za kuomba omba
Raslimali gani unazo wewe pimbi wakati kichwani umeweka kamasi? Stick za kuchomea mishikaki tu unaagiza kutoka kwa mabeberu wakati mbao zipo kibao hapo Iringa. Jaribu kuficha ujinga wako kidogo, husidhani maendeleo yanakuja kwa kuwa na raslimali bila maarifa!
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Isikusumbue; Uingereza uchumi wake uko hoi bin taaban, huwa hakuna kitu kinaitwa ruzuku kwa kuwa mwanachama wa jumuia ya madola. Halafu kwa nini tujenge tabia ya kutegemea vya bure namna hii. Magufuli kaonyesha inawezekana kununua ndege bila kupewa misaada; kuna mengi tunaweza kufanya bila msaada tukisimamia raslimali zetu vizuri.

Nyerere alisema kujitawala ni kujitegemea; haiwezekani taifa moja lijiendeshe kwa kutegemea misaada na mikopo ya taifa jingine kwa maendeleo yake. Upinzani wanahangaikia sana nchi kukosa misaada kama vile hilo ndilo litakalowapa kura. Mojawapo ya sababu za Zitto kuangushwa ni hiyo hujuma yake ya kutaka benki ya dunia isitoe mkopo, na mpinzai wake alilitumia sana kwenye kampeini, ingawa leo yeye anadai eti kulikuwa kna kura feki.
 
Back
Top Bottom