Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Lissu kapigwa kiuhalali kabisa ndo mana hawez pata suuport ya maandamano, vituo vingine kapata 0, nachojua CCM wamechakachua baadh ya majimbo Kwa ajil ya ubunge lakn uraisi hata wakirudia leo Lissu anagaragazwa Tu bado yaan kapigwa hasa.
 
Huyu nadiye aliyesababisha TAL akaangukia pua.
 
Upinzani usio na misingi kwa wananchi sio upinzani ila matumizi mabaya ya demokrasia.

Kuanzia 2015 hadi hii 2020 Tanzania hakuna chama pinzani ila kuna watu wanaotumia mgongo wa upinzani kufanya yao
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Hata wakituvua uanachama na kutuzuia tusipate ruzuku tutapambana kivyetu.

Heri Uhuru na njaa kuliko Utumwa na shibe.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu kaisababishia hasara kubwa sana.

CHADEMA itakumbwa na ukata mkubwa maana hakuna ruzuku,

Yani mtifuano utakaotokea hapo chadema si wa kitoto
Wafuasi wao watawachangia tu,kuhusu hilo wala usiwe na wasiwasi,jukumu lao litakuwa ni kutoa namba tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaan mfanya biashara (beberu) wa nje aombe jumuia ya mdola ishughulikie Tz. Wenye akina Lissu wamelala wanaogopa chuma kinavo uma. maneno mengi mitandaono! Ndoto za mchana!!
 
Internet imebakwa mama we we, mnajiorganize vipi?
 
..........
Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli[emoji3064][emoji3064]
wataanza vipi wakati. shughuli za kisiasa zinaenda kupigwa marufuku. Umesahau hapa kazi tu!
 
Huyu ajax Amsterdam anatetea maslahi ya lissu?, Chadema?, Au Tanzania maana hasikiki akizungumzia inshu za maalim seif au ndo muda wa Kila mtu ale size yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…