Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Tuelezeni kula feki zilitoka wapi? kwa mabeberu? msimsingizie Lisu mchawi ni kura feki mbona tukifika hapo mnahamisha magori. nani kaingiza mikura feki???????!!!!!!!??????!!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida wana sheria hujiona wana akili sana meanwhile wale wasiojiweza ndio husoma sheria.Amsterdam hana lolote cha kututisha mimi mwenyewe nasema hawezi hata kunitisha na kidegree chake kimoja cha sheria.
Alafu wanasheria bhana, kamlaghai mshikaji pesa yake yote. Na asipo shituka jana atakula pesa yote.
tuambieni kula feki zimetoka wapi? msihamishe magoriAmsterdam hana lolote cha kututisha mimi mwenyewe nasema hawezi hata kunitisha na kidegree chake kimoja cha sheria.
Alafu wanasheria bhana, kamlaghai mshikaji pesa yake yote. Na asipo shituka jana atakula pesa yote.
Be honest uchaguzi haukuwa competitive. Ni watu wasioelewa tu ndio walijua Lisu atapata hata 5%Tuelezeni kula feki zilitoka wapi? kwa mabeberu? msimsingizie Lisu mchawi ni kura feki mbona tukifika hapo mnahamisha magori. nani kaingiza mikura feki???????!!!!!!!??????!!!??
Jamaa yupi mkuu?Huyu jamaa mm ningekuwa nimesomea sheria ninge deal naye mwenyewe
[emoji3][emoji3][emoji3]pesa yake imeliwa. Alidhani watanzania nao hawajielewi. Sisi Ni Watanzania na hiki Ni kisiwa cha Aman. Mtu akishajulikana ni kibaraka watu wanaenda kwa wingi kumshangaa kisha wanamkataaWakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadirifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Kuna Departement of Internationaal Aid, waziri wake huwa anazitembelea nchi zote za kumuia. Kuna wakati walian- kujadili kuzikopesha nchi wanachama hizi pesa kwani wanaona hazileti mabadiliko yeyote katika kujikwamua na umasikini. Tofauti na Newzeland, Australia na Canada ambako wanao yeah ws miradi iliyotokana na pesa hizo.Jumuia ya madola haina ruzuku wewe. Kuna michango kibao kwa ajili ya mikutano.
Kumbe!.Je,serikali ya awamu ya tano itawezaje kuzuia tusiwekewe hivyo vikwazo?Chadema ina uhusiano wa kimaslahi makubwa na Matycoon wa Siasa za Africa.Hawa watu wapo teari kumwaga damu ili watawale vibaraka wao kwa maslahi yao.Amsterdam analipwa na hawa Matycoon kuakikisha mauaji yanatokea Tanzania au jumuia za kimataifa zinasitisha ushirikiano na Tanzania ili Watanzania wapate shida.Hili haliwezi kutokea ndni ya Seriakli ya Awamu ya Tano
RIPOTI NIMEZIONA WAMESHAURI KUWA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO TUANGALIE VITU KAMA HIVYO HATA MIMI NAKUBALI TUTAVIANGALIA LAKINI uchaguzi umeisha tumeshinda WACHA MAISHA YAENDELEE KAMA UNABISHA UTAKACHOKIFANYA UKIKUTANA NA VIJANA WA MAMBOSASA NDUGU ZAKO NDIYO UTAWASUMBUASoma ripoti za waangalizi wa uchaguzi pamoja na taarifa ya ubalozi wa Marekani ya jana ndo utaelewa.Wamesema wameona kura zilizopigwa kwa wagombea kabla hata ya uchaguzi kufanyika hvyo uchaguzi una mashaka makubwa juu ya uhalali.Just be impartial
HATUNA SHIDA NA MIPESA YENYE MASHARTI KIBAO TUNA PESA YA KUTOSHAKuna Departement of Internationaal Aid, waziri wake huwa anazitembelea nchi zote za kumuia. Kuna wakati walian- kujadili kuzikopesha nchi wanachama hizi pesa kwani wanaona hazileti mabadiliko yeyote katika kujikwamua na umasikini. Tofauti na Newzeland, Australia na Canada ambako wanao yeah ws miradi iliyotokana na pesa hizo.
Trust me ungekuwa umesoma sheria au kitu kingine chochote na kubobea usingekuwa na m tazamo huo ulio nao and hence usingekuwa na sababu ya ku deal nae huyo jamaa.Huyu jamaa mm ningekuwa nimesomea sheria ninge deal naye mwenyewe. Maana inaonyesha elimu yake ni ndogo mnoo, lkn anajidai kwelikweli.
Najua ni hasira tu zimekuzonga mkuu, cha muhimu tulia tu sindano izame vizuri,Mkuu "Mgegedwa", wewe upo kundi lipi kati hayo: lb7, Taga, CCM, Mwuaji, au mwizi? Hoja ni kuwa hayo hayawakilishi watanzania.
Wewe huoni hivyo Mr. Delicious?
inasikitisha sana walioshiriki udhalimu wa kura za wizi na kufurahia udhalimu uliofanyika wana maisha magumu,wanaangalia karibu hawaangalii mbaliWatumishi wa serikali sahauni nyongeza ya mshahara na wanafunzi malipo ya mkopo wa elimu yatapabsa
Najua ni hasira tu zimekuzonga mkuu, cha muhimu tulia tu sindano izame vizuri,
Mbaya zaidi wananchi wamempuuza Lisu yani juhudi zote za kutaka muandamane mmempuuza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu kweli unaunga mkono uhuni huu uliofanywa na Nec-ccm...? kuweni hata wanadamu wakati mwingineHuyu muhuni kacharazwa hadi hajui la kufanya
PointWalihamasika Sana tatizo chadema waliwaambia wafuasi wao wasusie zoezi la uboereshaji wa daftari la wapiga kura. Kwahiyo waliopiga kura wakawa CCM na chadema wachache tuu.
Wewe upo gheto kwa cyprian Musiba unavuta Bangi bado?Huyu muhuni kacharazwa hadi hajui la kufanya