minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kwani Tanzania si ni sehemu ya jumuia ya kimataifaHow Amsterdam anadhani Tanzania ni kijiji sio,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Tanzania si ni sehemu ya jumuia ya kimataifaHow Amsterdam anadhani Tanzania ni kijiji sio,
Kuvutia ndiyo kuwa mwizi wa kura? Busara ni kuulawiti kuubaka uchaguzi?Wapinzani hawana mvuto chief, hebu waangalie wanasiasa wa CCM kwanza wanavutia hata kwa kuwaangalia tu usoni, ni vijana wenye busara na hekima
Tanzania hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani pesa za viwanda za walipa kodi zote zinatumika kudidimiza demokrasia kudhoofisha chadema kuua upinzani na sasa zimetumika kuubaka kuulawiti uchaguzi, hawataki maendeleo kabsa saa 24 CCM huwaza mambo haramu ya kishetaniWewe mama ni mgogo nini?? Unapenda msaada sana. Hata wanao unawahimiza wawe tegemezi namna hiyo kwa kila rasilimali tulizonazo hatustahili kabisa kusaidiwa ni basi tumekua na tamaduni za kishenzi kila kitu kuombaomba wakati rasilimali tunazo emu wahimize vijana wafanye kazi tuondokane na hulka za kipumbavu za kuomba omba
Kura feki ni walitengeneza wao kuchafuaTuelezeni kula feki zilitoka wapi? kwa mabeberu? msimsingizie Lisu mchawi ni kura feki mbona tukifika hapo mnahamisha magori. nani kaingiza mikura feki???????!!!!!!!??????!!!??
CCM ndiyo kaleta hasara kwa kuubaka kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetani, kumbuka wapiga kura wametenda haki kwa kuichagua chadema lakini wakurugenziccm Polisiccm NECCCM Tumeccm vyombo binafsi vya CCM vimepora Nchi majimbo kwa njia haramu za kishetani.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu kaisababishia hasara kubwa sana.
CHADEMA itakumbwa na ukata mkubwa maana hakuna ruzuku,
Yani mtifuano utakaotokea hapo chadema si wa kitoto
Huo ujinga wa CCM ndiyo umeifanya kukosa kura wakaamua kuubaka kuulawiti uchaguziKura feki ni walitengeneza wao kuchafua
Watanzania wa wapi unawasemea? Maana watanzania siyo wajinga kama weweSi alidanganywa na likibaraka limoja kuwa ukionekana unajua kizungu Tanzania, watanzania watakuogopa na kukuona umesoma sana.
CCM wameulawiti kuubaka uchaguzi wamebaka kila kona ili Zanzibar waendelee kutaabika kupigwa kuuawa pasipo Dunia kujua kwa harakaInternet imebakwa mama we we,mnajiorganize vipi?
Ndiyo tatizo la kuwekeza bila uhakika matokeo yake ndiyo hayo sasa. Imekula kwake mazima.Huyo wakili kama aliwekeza kwa mgombea wake, imekula kwake<
Kura kapigiwa nyingi lakini CCM wamempora Urais kwa njia haramu za kishetaniKura hamkupiga mnategemea Amsterdam atende miujiza. Akili zenu ndogo sana
Hakuna kilichopotea haki ya mtu haipoteiNdiyo tatizo la kuwekeza bila uhakika matokeo yake ndiyo hayo sasa. Imekula kwake mazima.
Vijana wengi sana hawajapiga kura.Humu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura...
Hakuna aliyepuuza maandamano kwani hakuna aliyeitisha maandamano mpaka sasa, ni wananchi wa wapi unawasemea? Sindano zipi ziingie wapi wakati hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania zaidi ya CCM kufanya mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa TaifaNajua ni hasira tu zimekuzonga mkuu, cha muhimu tulia tu sindano izame vizuri,
Mbaya zaidi wananchi wamempuuza Lisu yani juhudi zote za kutaka muandamane mmempuuza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Chadema imepata kura nyingi la CCM imewapora Ushindi kwa njia haramu za kishetaniVijana wengi sana hawajapiga kura.
Amsterdam mambo yalikua hivi, ingawa kwa aibu NEC wanakanusha.
Mkuu sasa unamlaumu huyu dada kwa lipi, wakati ni ukweli kuwa Tanzania kwa kiasi kikubwa hutegemea misaaada toka nnje kwa ajili ya maendeleo yake. Umesahau mkuu kuwa kitambo mliisha izika siasa ya muasisi wa ccm ya ujamaa na kujitegemea. Tanzania ni nchi inayotegemea mitaji toka nnje ili iendelee kiuchumi.Wewe mama ni mgogo nini?? Unapenda msaada sana. Hata wanao unawahimiza wawe tegemezi namna hiyo kwa kila rasilimali tulizonazo hatustahili kabisa kusaidiwa ni basi tumekua na tamaduni za kishenzi kila kitu kuombaomba wakati rasilimali tunazo emu wahimize vijana wafanye kazi tuondokane na hulka za kipumbavu za kuomba omba
Usijibu swali kama Mtoto. Unajua kosa la kufoji kama ni wapinzani wangeachwa tu hivi hivi usitoe majibu mepesi kwa hoja nzito ujui kaa kimya chunga ulimi wakoKura feki ni walitengeneza wao kuchafua