minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipigia CCM kura yakeHapo unapiga ramli tu. Yeye mwenyewe anajua hakupata kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipigia CCM kura yakeHapo unapiga ramli tu. Yeye mwenyewe anajua hakupata kitu
Hakuna kitu anaweza fanya yule #tanzaniayakijani #Magu4lifeCCM Hapa kazi wanayo!
Mnaombeza Amsterdam hamumjui, yule ni wakili wa kimataifa anajua vyombo vya kukamatia kupambana na serikali korofi!
Wambie CCM waache vitendo haramu vya kishamba na kishetani endapo hutaki aje
Ccm wengi hawana akili ndo maana wengi mpo hiki chama cha vilaza.Hapana, naomba zile kesi ziskiliZwe sasa na hukumu itolewe
RIPOTI NIMEZIONA WAMESHAURI KUWA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO TUANGALIE VITU KAMA HIVYO HATA MIMI NAKUBALI TUTAVIANGALIA LAKINI uchaguzi umeisha tumeshinda WACHA MAISHA YAENDELEE KAMA UNABISHA UTAKACHOKIFANYA UKIKUTANA NA VIJANA WA MAMBOSASA NDUGU ZAKO NDIYO UTAWASUMBUA
Waweza onyesha kwenye hyo attachment walichoandika kinachofanana na wewe ulichoandika?RIPOTI NIMEZIONA WAMESHAURI KUWA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO TUANGALIE VITU KAMA HIVYO HATA MIMI NAKUBALI TUTAVIANGALIA LAKINI uchaguzi umeisha tumeshinda WACHA MAISHA YAENDELEE KAMA UNABISHA UTAKACHOKIFANYA UKIKUTANA NA VIJANA WA MAMBOSASA NDUGU ZAKO NDIYO UTAWASUMBUA
Haitasaidia kitu kama magufuli angekuwa wa kutishika basi toka huyu wakili alivyoanza kutoa vitisho kwa wasimamizi wa uchaguzi basi angeogopa na pia huu uchaguzi umeangaliwa na wengi kuliko hata huyu wakili mmjaWakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Ccm wengi hawana akili ndo maana wengi mpo hiki chama cha vilaza.
Eti kwa sababu ana kesi zikisikilizwa hawezi kushinda hizo kesi.
Tangu lini kesi za kubambikiwa zikatoboa?,au kwa sababu mwenyekiti wako ana uwezo Wa kuwaamuru mahakama wapindishe sheria.
KAMA hujaelewa mwambie hata mwanao anayesoma nursery atakutafsiria maana wewe mbumbumbuWaweza onyesha kwenye hyo attachment walichoandika kinachofanana na wewe ulichoandika?
Tusiombe hyo Mana hata wewe au ndugu na jamaa zako wanaweza wasijue watafika wapi!Kateni misaada na mikopo tuone Jiwe litafika wapi.
Ccm wengi hawana akili ndo maana wengi mpo hiki chama cha vilaza.
Eti kwa sababu ana kesi zikisikilizwa hawezi kushinda hizo kesi.
Tangu lini kesi za kubambikiwa zikatoboa?,au kwa sababu mwenyekiti wako ana uwezo Wa kuwaamuru mahakama wapindishe sheria.
Wewe unastahili matusi yote tuu. Jee hii ni kazi ya mabeberu?Mbinu zao zimefeli, hawa MABEBERU ni watu hatari sana.. Wapo tayari kuiingiza nchi kwenye vita kama hutimizi maslahi yao! Siyo marafiki hata kidogo, inahitajika akili ya ziada kuwafahamu.
Kateni misaada na mikopo tuone Jiwe litafika wapi.
Huyo wakili kama aliwekeza kwa mgombea wake, imekula kwakeQUOTE]Wasio na akili kama wewe sio rahisi kuelewa. Ujinga kumbe ni kipaji kwa wengine?
Based on your low processor, you don't 've facts-just blah blah hereKAMA hujaelewa mwambie hata mwanao anayesoma nursery atakutafsiria maana wewe mbumbumbu
Lissu kashindwa Kwa sababu mwongo mwongo mara alitaka lockdown mara alitaka ushoga, pia watanzania wakastuka mgombea gani analetwaga Na Robert wa wamarekani!?Tundu Lissu wap eleke mchaka mchaka 😂
Mwenye akili timamu hawezi kufikiria hoja za kitoto za upinzani zitampa maendeleo.Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipigia CCM kura yake
Magu alishasema nchi yetu haihitaji misaada ya masharti. Kama wanadhani watamtingisha Magu kwa kuvuliwa uanachama watafeli sana.Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Watumishi wa serikali sahauni nyongeza ya mshahara na wanafunzi malipo ya mkopo wa elimu yatapabsa