Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.

Huyu jamaa angekaa mbali, mambo mengi yasingekuwa hivi yalivyo. Hakuna power inayoenda kwa stranger. Hata kwenye law firm yake mambo hayako hivyo.
 
Chadema imepata kura nyingi la CCM imewapora Ushindi kwa njia haramu za kishetani
Kura nyingi wamepataje wakati mashabiki wake wengi hawajapiga kura? Tusitafute visingizio jaribu kuulizia watu wako wa karibu mashabiki wa Lissu kama walipiga kura. Mimi nimeulizia watu kama hamsini mashabiki wa Lissu walioenda kupiga kura hawazidi watano.
 
Mkuu sasa unamlaumu huyu dada kwa lipi, wakati ni ukweli kuwa Tanzania kwa kiasi kikubwa hutegemea misaaada toka nnje kwa ajili ya maendeleo yake. Umesahau mkuu kuwa kitambo mliisha izika siasa ya muasisi wa ccm ya ujamaa na kujitegemea. Tanzania ni nchi inayotegemea mitaji toka nnje ili iendelee kiuchumi.
Deni la Taifa limepanda mara Dufu chini ya utawala wa kaburu Mkoloni mweusi kuliko Tawala zote zilizopita, anakopa mno na kuomba misaada aliwahi kuomba msaada kwa Morocco Nchi ya kiafrika yenye shida nyingi lakini bila Aibu kawaomba wamjengee uwanja wa Soka Dodoma, CCM ni ile ile ukoo wa panya pato la ndani jingi hupigwa kifisadi pesa nyingi inapotelea kwa wajanja huko CCM kama ile trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara
 
Kuna Departement of Internationaal Aid, waziri wake huwa anazitembelea nchi zote za kumuia. Kuna wakati walian- kujadili kuzikopesha nchi wanachama hizi pesa kwani wanaona hazileti mabadiliko yeyote katika kujikwamua na umasikini. Tofauti na Newzeland, Australia na Canada ambako wanao yeah ws miradi iliyotokana na pesa hizo.
I think kutegemea misaada ni kuhatarisha amani. Wangekuwa wametoa hela za uchaguzi ungesikia vikwazo sasa hivi TUKO HURU. VIVA MAGU.
 
Huyu jamaa angekaa mbali, mambo mengi yasingekuwa hivi yalivyo. Hakuna power inayoenda kwa stranger. Hata kwenye law firm yake mambo hayako hivyo.
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada hupiga magoti na kuwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
I think kutegemea misaada ni kuhatarisha amani. Wangekuwa wametoa hela za uchaguzi ungesikia vikwazo sasa hivi TUKO HURU. VIVA MAGU.
Vikwazo vinakuja na Polisiccm kwa dazani watafikishwa ICC The Hague haijalishi kama wametoa pesa ama laa
 
Kura nyingi wamepataje wakati mashabiki wake wengi hawajapiga kura? Tusitafute visingizio jaribu kuulizia watu wako wa karibu mashabiki wa Lissu kama walipiga kura. Mimi nimeulizia watu kama hamsini mashabiki wa Lissu walioenda kupiga kura hawazidi watano.
Chadema wamepata kura nyingi mno lakini wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm vyombo binafsi vya CCM vimewapora ushindi kwa njia haramu za kishetani
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada hupiga magoti na kuwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.

Huyu jamaa akae kando. Hakuna anayemhitaji. Tanzania ni zaidi ya CCM na CDM. Wengine hatuko kwenye ligi zenu hizi
 
Naona watu wamemgomea brother kuandamana.
Mtaji wa mwanasiasa yoyote ni watu kitu ambacho Tundu hana. Angekua nao sasa hivi tungekua tunatuma maombi ya kuombea nchi[emoji848]

Anzeni upya kwa kutengeneza misingi mizuri kutoka chini sio unaamua ndani ya miezi 3 uwe Rais na utegemee sapoti kubwa kutoka kwa watu ambao haukua nao ukitegemea watu wa mitandao wanaokupamba na hujui Kama wapo kweli[emoji3064][emoji3064]
Tunaandamana kimya kimya na baada ya miezi mitatu mtaelewa nilikuwa namaanisha nini. Sisi hatupendi wala hatutaki kuwa chanzo cha umwagaji damu ya Watz kama mlivyo ccm. Tunatumia akili zaidi siyo mabavu.
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.

Kwani hiyo Jumuia ya Madola si walikuwepo? Si waliona jinsi Lissu alivyogaragazwa? Mkumbuke kuwa Lissu alisema baada ya kupiga kura kuwa uchaguzi ulienda vizuri na aliridhika na jinsi ulivyokuwa umefanyika. Alidhani amepata kura japo za kuonyesha kuwa waTZ walikuwa na imani kidogo naye. Kuja kuona waTZ wanampuuza ile mbaya ndio anakuja na upuuzi huu ambao hauna hata nukta ya substance na anamshirikisha huyu anayemwita wakili wake. Hiyo Jumuia ya Madola itamchinjia porini kama waTZ walivyomchinjia baharini
 
Deni la Taifa limepanda mara Dufu chini ya utawala wa kaburu Mkoloni mweusi kuliko Tawala zote zilizopita, anakopa mno na kuomba misaada aliwahi kuomba msaada kwa Morocco Nchi ya kiafrika yenye shida nyingi lakini bila Aibu kawaomba wamjengee uwanja wa Soka Dodoma, CCM ni ile ile ukoo wa panya pato la ndani jingi hupigwa kifisadi pesa nyingi inapotelea kwa wajanja huko CCM kama ile trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara
Mkuu umesema ukweli kabisa CCM ni ile ile ukoo wa panya. Kubaki madarakani kwa wao ndi survival yao ya kuendelea kutafuna hivyo hufanya juhudi za hali, mali na hata kutoa uhai wa mtu ili kubaki kwenye madaraka. Sijui wanajisikia faraja ipi kubaki peke yao ndani ya bunge.
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Sijui mpoje
 
CCM Hapa kazi wanayo!
Mnaombeza Amsterdam hamumjui, yule ni wakili wa kimataifa anajua vyombo vya kukamatia kupambana na serikali korofi!
 
He is even confused. Facial language hajui afurahie au alie.

Let him get lost na Amsterdam Wagombea walikuwa wengi why him????

Hapana, naomba zile kesi ziskiliZwe sasa na hukumu itolewe
 
Huyu jamaa akae kando. Hakuna anayemhitaji. Tanzania ni zaidi ya CCM na CDM. Wengine hatuko kwenye ligi zenu hizi
Wambie CCM waache vitendo haramu vya kishamba na kishetani endapo hutaki aje
 
Kwani hiyo Jumuia ya Madola si walikuwepo? Si waliona jinsi Lissu alivyogaragazwa? Mkumbuke kuwa Lissu alisema baada ya kupiga kura kuwa uchaguzi ulienda vizuri na aliridhika na jinsi ulivyokuwa umefanyika. Alidhani amepata kura japo za kuonyesha kuwa waTZ walikuwa na imani kidogo naye. Kuja kuona waTZ wanampuuza ile mbaya ndio anakuja na upuuzi huu ambao hauna hata nukta ya substance na anamshirikisha huyu anayemwita wakili wake. Hiyo Jumuia ya Madola itamchinjia porini kama waTZ walivyomchinjia baharini
Upuuzi unao wewe kwa kudhani watanzania ni wajinga kama wewe, hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
CCM Hapa kazi wanayo!
Mnaombeza Amsterdam hamumjui, yule ni wakili wa kimataifa anajua vyombo vya kukamatia kupambana na serikali korofi!
Watakamata mali za Tanzania watafunga A/C na kutaifisha pesa na mali ya viongozi wa CCM vilivyofichwa nje na wao kupewa vikwazo vya kusafiri kwenda huko na pia kufishwa ICC kwa mauji Zanzibar na unyanyasaji uonevu wa Polisiccm upande wa Tanganyika
 
Mkuu umesema ukweli kabisa CCM ni ile ile ukoo wa panya. Kubaki madarakani kwa wao ndi survival yao ya kuendelea kutafuna hivyo hufanya juhudi za hali, mali na hata kutoa uhai wa mtu ili kubaki kwenye madaraka. Sijui wanajisikia faraja ipi kubaki peke yao ndani ya bunge.
Bunge la CCM watupu litakuwa bunge la ndiyooo ndiyooo linaenda kuwa bunge la ajabu Duniani latafanya vituko mpaka Ulimwengu ushangae
 
Back
Top Bottom