Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Huoni kama ndiyo iliyopelekea kifo chake Huyo shoga, na hamuwezi kujiKuna watu wengi tu wanaoana hata hawatambulishani kwa wazazi wao.
Usiufanye huo utambulisho kama ni hoja muhimu sana.
Mungu aliwaangamiza Sodom's na gomora Kwa moto Kwa sababu walikuwa chukizo mbele za Mungu, ushoga ni laana kwa familia, laana kwa taifa, wewe kama mwanao wa kiume atakuletea mchumba mwanaume mwenzake utamfurahia na kumchinjia kuku fanya hivyo for me haikubalikiKama Lengo ni kuijaza Dunia na kuzaliana kwanini kuna Wagumba na Matasa???
Je tuwauwe nao?