Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Hio ndio dawa yao hata mm mtoto wangu akiwa shoga hana mda wa kuishi
 
Waliowaletea hizo Dini ndio walioukubali Ushoga na wana Sherehe zao kila mwaka, shughuli za Nchi zinasimama kusheherekea uwepo wa Mashoga, lakini pia wanafungishwa hadi Ndoa,

Sasa wewe Ngumbaru ambaye hata Maji tu kupata tabu usikute hapo una siku tatu hujaoga lakini unatunukisha kwapa lako hapa kwa kubishana juu ya Ushoga
Ni zaidi ya wanyama kwa sababu Sijawahi kuona wanyama wanafirana
 
Mimi kuua mtu wa type iyo wala sioni kama inamantik ikiwa ye yupo na maisha yake hajiattach na mambo ya watu wengine kijinsia, ndo maana mashoga wapo wengi mtaani na hatuna shida nao unawatazama unawaacha kama walivyo, tatizo lina kuja pale uyo shoga anajileta kwenye familia yako au anajihusisha na familia yako apo ndo tatizo linaanza binafsi sina shida nao, wao wakifanya ufirauni wao huko tena ikawa sirisiri aah mi nitawapongeza zaidi watakuja kudill na mungu wao kivyao ila akijaribu kuingia kwenye familia yangu apo ndo sheria ya mkono itapochukua mkondo wake unapoona hata vyombo vya kiserikali vipo kimya na hao watu ni kwamba hawajawagusa mahala pake mfano uyo kassim PM imagine mtoto wake wakiume anamletea mwanaume mwenzake kua ndo mume wake unafikiri Kassim atapigq makofi aseme wife piga pirau mwanetu anaolewa!!! Hakuna kitu kinauma hasa mzazi wa kiume mwanao akiwa wa ivo inauma sana asee.
WAUAWE, watajiatach indirect na family yako,,una watoto wanaoenda shule, nao hao mashoga Wana watoto pia wanaoenda shule, huko huko
 
Demi na ROBERT HERIEL Mkuu wa fasihi

Hitimisho lenu lipi wote kwa pmj mnk nimefatilia mjadala vzr Sana Hadi Mkuu wa. Fasihi kubadili gia angani lkn bi dada wetu akamrejesha

Nawauliza mkp Sasa mmekubaliana au kutokukubaliana kwenye lipi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akabadili gia angani akarudishwa kwenye mstari akapanic akakimbia
 
Hapana,
Ni Tag nikajioenee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akabadili gia angani akarudishwa kwenye mstari akapanic akakimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeona Hilo jinsi mkuu wa fasihi alivyo sepa kininja amesepa Kama Yule mzee aliyee muua mwanae shoga

Demi plz came

Endeleza mapambno na mzee wa fasihi bhna nimependa hoja zenu wote kwa pmj
 
Ni zaidi ya wanyama kwa sababu Sijawahi kuona wanyama wanafirana
Hizi ndizo hoja mfu ambazo wengi wenu mnashindwa kuzitetea halafu mnakimbia.

Nikikuletea video ya simba dume wakiwa wanafirana utasemaje? Utatimka mbio au utajitetea tena?

Hoja hapa sio wanyama kufirana. Hoja ni watu kutoingiliwa uhuru wa miili yao wenyewe.

Mtu mzima akiamua kuliwa kinyeo chake aachwe aliwe.

We inakuhusu nini hapo?
 
NASEMA HIVI
Haki za binadamu zizingatiwe,uhuru wa maamuz,akili na usawa,hivi mtu akiliwa tigo ww inakuuma nn?
mtu akimla mwenzie tako ww unakosa pumzi au?
TUWAACHE WATU WAISHI MAISHA YAO WALIOYACHAGUA

NB:HUYO BABA ALIEKIMBIA WAKIMKAMATA HUKO NAE WAMPUKUSUE LINDA
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Hilo dume jike na hilo dume uchwara pamoja na wewe unaejifanya mtetezi wa haki za binaadamu nyote mnatenda mambo kinyume na maadili na kwa hakika kesho yenu ni mbaya sana, huyo aliyetekeleza mauaji ni sahihi kabisa maana ametukanwa na kudhalilishwa kwa kiwango cha juu sana, kwanza hata hivyo alikuwa mvumilivu sana, ingekuwa mimi ningeingìa ndani silaha yoyote ningetoka nayo ndiyo ingekuwa hatima yao. Hata hivyo natoa kongole kwa huyo baba Mwenyeezi Mungu amlinde.

Sent from my SM-A530N using JamiiForums mobile app
 
Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.
Usisahau kuna kitu kinaitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD) kikikupata unaweza ukafanya mambo ya kuushangaza ulimwengu, ndicho kilichomkuta huyo baba wa mtoto wa kiume baada ya kugundua mwanae aliemkuza na kuamini anasimamisha mkuyege kumbe wahuni wanampulia kwa nyuma
 
Back
Top Bottom