Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Hio ndio dawa yao hata mm mtoto wangu akiwa shoga hana mda wa kuishi
 
Ni zaidi ya wanyama kwa sababu Sijawahi kuona wanyama wanafirana
 
WAUAWE, watajiatach indirect na family yako,,una watoto wanaoenda shule, nao hao mashoga Wana watoto pia wanaoenda shule, huko huko
 
Demi na ROBERT HERIEL Mkuu wa fasihi

Hitimisho lenu lipi wote kwa pmj mnk nimefatilia mjadala vzr Sana Hadi Mkuu wa. Fasihi kubadili gia angani lkn bi dada wetu akamrejesha

Nawauliza mkp Sasa mmekubaliana au kutokukubaliana kwenye lipi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akabadili gia angani akarudishwa kwenye mstari akapanic akakimbia
 
Hapana,
Ni Tag nikajioenee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akabadili gia angani akarudishwa kwenye mstari akapanic akakimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeona Hilo jinsi mkuu wa fasihi alivyo sepa kininja amesepa Kama Yule mzee aliyee muua mwanae shoga

Demi plz came

Endeleza mapambno na mzee wa fasihi bhna nimependa hoja zenu wote kwa pmj
 
Ni zaidi ya wanyama kwa sababu Sijawahi kuona wanyama wanafirana
Hizi ndizo hoja mfu ambazo wengi wenu mnashindwa kuzitetea halafu mnakimbia.

Nikikuletea video ya simba dume wakiwa wanafirana utasemaje? Utatimka mbio au utajitetea tena?

Hoja hapa sio wanyama kufirana. Hoja ni watu kutoingiliwa uhuru wa miili yao wenyewe.

Mtu mzima akiamua kuliwa kinyeo chake aachwe aliwe.

We inakuhusu nini hapo?
 
NASEMA HIVI
Haki za binadamu zizingatiwe,uhuru wa maamuz,akili na usawa,hivi mtu akiliwa tigo ww inakuuma nn?
mtu akimla mwenzie tako ww unakosa pumzi au?
TUWAACHE WATU WAISHI MAISHA YAO WALIOYACHAGUA

NB:HUYO BABA ALIEKIMBIA WAKIMKAMATA HUKO NAE WAMPUKUSUE LINDA
 
Hilo dume jike na hilo dume uchwara pamoja na wewe unaejifanya mtetezi wa haki za binaadamu nyote mnatenda mambo kinyume na maadili na kwa hakika kesho yenu ni mbaya sana, huyo aliyetekeleza mauaji ni sahihi kabisa maana ametukanwa na kudhalilishwa kwa kiwango cha juu sana, kwanza hata hivyo alikuwa mvumilivu sana, ingekuwa mimi ningeingìa ndani silaha yoyote ningetoka nayo ndiyo ingekuwa hatima yao. Hata hivyo natoa kongole kwa huyo baba Mwenyeezi Mungu amlinde.

Sent from my SM-A530N using JamiiForums mobile app
 
Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.
Usisahau kuna kitu kinaitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD) kikikupata unaweza ukafanya mambo ya kuushangaza ulimwengu, ndicho kilichomkuta huyo baba wa mtoto wa kiume baada ya kugundua mwanae aliemkuza na kuamini anasimamisha mkuyege kumbe wahuni wanampulia kwa nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…