Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Huyo ni mwanae unadhani kati yako na huyo dingi nani Ana uchungu wa kuondokewa na ndugu

Mbona mimba watu hutoa Acha na hiki kisicho ridhiki kitoke tu
 
Ndio sio maadili ya kiafrika wala dini haziruhusu. Sasa niambie kwanini amue mtoto kisa kaleta mpenzi wake nyumbani? Huoni kama kila mtu atajicjukulia sheria mkononi tutafika kweli?
Mtoto wake au wako shoga wewe!!?
 
Halafu huyo mpaka leo hajui kama kuna “wamatumbi” wanawafundisha waarabu Dini?

Nimewakumbuka “Wamatumbi” Shaikh Muhammad Amaan al Jami na Shaikh Muhammad Adam al Ethiopi (Allah awarehemu).

Kwetu sisi Waislam elimu haina mwenyewe, elimu ina watu wake (na watu wake ni wale walioichukua).
 
Eti watetez wa haki za binadam achen kumkufuru Mwenyez mungu
 
MAMBO YA WALAWI
Mlango 20
13. Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Amina
 
Ebu ni kuulize..mtu akiliwa kiboga..wewe kinacho kuuma nini?..mbona hulalamiki viboga vya wadada zako vinavyuliwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mungu yupi anayekuamlisha uwe mashoga..mana kama unaamini mungu wa wakristo..alishakataza kuua kupitia amri kumi na kristo akaja kula na kunywa na makahaba probably haya hao mashoga alikula na kunywa nao..na akamlisha kuwa amri ya jino kwa jino jicho kwa jicho..iwe upendo na amani kwawote na kuacha magugu yaote pamoja na ngano ila mwisho wasiku yatatenganishwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi nadhani tukubaliane kutokukubaliana..kama ambavyo nguruwe ni haramu na huruhusiwi kula kwa imani yako na hivyo huwezi tu toka ulikotoka ukaenda kumuua nguruwe kwakuwa ni haramu...kwanini isiwe sawa kwa mashoga ambao ni haramu kuachwa nao waishi na uharamu wao.

Mana watu wanapinga ushoga ila kuhusu kutindua mikundugu ya wanawake zao hawaoni kuwa haramu..huu ni upuuzi mtupu.

Let them live their life kama wewe unavyoishi maisha yako..kama huwapendi keep them away hivyo tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Haiwezekani kwenu ila huko wanauliwa na wataendelea kuuliwa kijana. Watu hatutaki ujinga na ukameme.

Mnatueletea shida sana katika jamii, wajinga nyinyi. Allah awalaani nyote mnaofanya haya na kuyatetea kwa hali zake zote.
Wewe mbona mademu zako na dada zako wanatifuliwa tope na unachekelea..kwani mkundugu wa me na ke unatofauti..faller wewe.[emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
 
Kitendo cha mtoto wa kiume kwenda kumtambulisha mchumba (shoga/basha) kwa baba yake ni kitendo kibaya sana.
Ukiona hivyo ujue malezi ya baba kwa mtoto ndio yana dosari..wababa wenye misimamo huwezi kuta huu upuuzi mtoto anafanya mbele ya wazazi wake.

Kwangu mimi mzee ndio tatizo..amemlea huyo mtoto vibaya.

#MaendeleoHayanaChama
 
KUUAWA NDIO STAHIKI YAKE. AMEFANYA SAHIHI... NA APONGEZWE KWA HATUA HIYO. NA AUNGWE MKONO.
 
Kwahyo kumua mtoto ndio suluhisho?
Mtoto alivuka mstari mwekundu.
Kama anapekechwa hayo ni yake na afanyie huko anakojua.
Kitendo cha kumleta mpekechaji kwa baba mzazi ni dharau na maudhi makubwa kwa baba.

Ninaweza kusema baba aliua bila kukusudia. Alifanya hayo akiwa kwemye maumivu makali sana ya moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…