Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mahakamani huwa anaenda kufanyaje si kuhukumiwa.. kwanini binadamu ndio amuhukumu binadamu mwenzake huu ni utaratibu ambao hata mungu ametupa kwa jambo la ushoga hili ni kubwa sana yani hapa sio kiimani wala sio kiakili fasaha ya kawaida hapa ni kifo tu mtu wa staili hii kinamfaa unawezaje me na me wanaafunga ndoa na kupumuliana sikubali na sio sawa na wala haiwezi kua sawa je mbona hizo haki za binadamu huwa hamzisemi kwa hao walio zileta katika ujinga wanaoofanya adi leo hii eti kumuacha mwanaume ampumulie mwanaume mwengine kwa uhuru ni haki za binadamuu upumbavuu upumbavu uhayawani full stopp hao watu kifo ni adhabu bora kwao
Lakini hakuna sheria inayoruhusu kuua mtu duniani. Ni pia hasira ni hasara ushoga ni tatizo katika jamii nyingi nakubaliana na wewe ila siyo kuwaua ni kinyume na haki za kibinaadamu.
 
Ukiona vijana wanavyo chakatana Twitter huko inasikitisha San inatia kinyaaa haswaaa
 
Safi safii kabisa kama mungu aliwaua wale wa sodoma na gomola mi nani nimuache mwanangu hata mimi nitafia jela kwa upuuzi huo nigundue mwanangu anapumuliwa na nihakikishe nitakachofanya nitakacho fanya huyo kaua kistaarabu sana
Umeua wangapi machoko ya hapo mtaani kwako hadi sasa.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Lakini hakuna sheria inayoruhusu kuua mtu duniani. Ni pia hasira ni hasara ushoga ni tatizo katika jamii nyingi nakubaliana na wewe ila siyo kuwaua ni kinyume na haki za kibinaadamu.
Adhabu ya kifo ni mauaji ya mwanadamu yanayotekelezwa na serikali baada ya mahakama kutoa hukumu ya mauti kulingana na sheria za nchi.
 
Naona sadam husein alipewa juisi kitanzini
Aliyoyafanya sadam Hussein na watoto wake haswa yule uday na ya kinyama sana na kikatili mno fuatilia utaona kabisa aliumiza watu wengi sana.
 
Umeua wangapi machoko ya hapo mtaani kwako hadi sasa.?

#MaendeleoHayanaChama
Nishapiga nusu kuua nishalala polisi kwakupiga hawa watuuu sifagilii uchoko wananitambua vizurii alafu ndo aje kua mwanangu choko tena kwadharau ananiletea choko mwenzie kwangu kumtambulisha nachukua sheria tamu kama alochukua mzee hapoo
 
Mtu anaiba unamkamata unampeleka jela akafanye nini muache mungu atamuhukumuu

Ieleweke hivi mtu yeyote anae ubatilisha utamaduni wa mungu kuhusu jinsia kwamba me aende sambamba na me na ke aende sambamba na ke hawa nikushughulika nao tu na akuna adhambu nzuri kwao kama kifo tu

[emoji35][emoji35][emoji35]
Sitetei uchoko..ingetokea wewe ni choko je ungefurahi kuuliwa kwa sababu ya uchoko wako.

Wangapi wanafanya maovu zaidi hata uchoko ila sioni kauli za watu kama wewe za kuwauwa.

Halafu huyo choko kaamua yeye binafsi kutinduliwa mtalo wewe kinakuuma nini..au ni wivu tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nishapiga nusu kuua nishalala polisi kwakupiga hawa watuuu sifagilii uchoko wananitambua vizurii alafu ndo aje kua mwanangu choko tena kwadharau ananiletea choko mwenzie kwangu kumtambulisha nachukua sheria tamu kama alochukua mzee hapoo
Punguza hasira na chuki na makasiro mkuu usichukue sheria mkononi kumdhuru au kujeruhi au kumuua binaadamu mwenzako. Hebu jaribu njia nzuri ya kidiplomasia ikishindikana basi jaribu kujitenga na watu ambao kwako unaona ni chukizo.
 
Kwaio wewe unavoona mashoga hawaumizi watu wengi etiii [emoji1787][emoji1787] aisee inasikitisha sanaa
Binafsi yangu sijali maana ni maisha yake ni mwili wake na pia kila mtu ataenda kujibu kadiri ya matendo yake. Ila ninachokipinga ni kuutoa uhai wa mwanadamu mwenzako ilihali kila mtu hata wewe una mapungufu yako kwasababu hakuna aliye mkamilifu chini ya jua.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Yani wewe ungekuwa mwanangu ningeshakuwekea nawewe sumu
 
Binafsi yangu sijali maana ni maisha yake ni mwili wake na pia kila mtu ataenda kujibu kadiri ya matendo yake. Ila ninachokipinga ni kuutoa uhai wa mwanadamu mwenzako ilihali kila mtu hata wewe una mapungufu yako kwasababu hakuna aliye mkamilifu chini ya jua.
Kwanini kuna hukumu ambazo tunazitoa sisi wanadamu kwa wale wanaofanya vitu vihovu kwanini hizo hukumu tusingemuachiaga mungu

Ushoga haufai kuanzia kuuona mpka kuusikia mimi nikiliona jitu shoga nalizaba makofiii
 
Jambo la msingi ni kuwalea watoto wetu katika mazingira yatakayowajenga kuwa watoto wa kiume kamili. Siku hizi maisha ni magumu inawabidi wazazi wawe wapambanaji, lakini isisababishe wakose muda wa kujua maendeleo ya watoto wao. Hiindiyo sababu kubwa inapelekea watoto kujifunza mambo ya ajabu-ajabu wazazi wanapokua katika pilikapilika za maisha.
 
Kwanini kuna hukumu ambazo tunazitoa sisi wanadamu kwa wale wanaofanya vitu vihovu kwanini hizo hukumu tusingemuachiaga mungu

Ushoga haufai kuanzia kuuona mpka kuusikia mimi nikiliona jitu shoga nalizaba makofiii
Unakumbuka yule ustadh kule Arusha kama sijakosea aliyewalawiti watoto wadogo? Hebu niambie wale watoto baadee wakija kuwa mashoga nani wa kulaumiwa mkuu.
 
Unakumbuka yule ustadh kule Arusha kama sijakosea aliyewalawiti watoto wadogo? Hebu niambie wale watoto baadee wakija kuwa mashoga nani wa kulaumiwa mkuu.
Kifo ni tiba tosha kwakee kwaio wewe unaona sawa sijui huyo ostadh kufanya huo ushetani au ndio mnalinda haki zabinadamu huyo kifo nikitu pekee kilimfaa kama angenifanyia mimi hivo mwanangu nisingemuacha hai
 
Back
Top Bottom