Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Jibu swali.
Amri ya 7 ya Mungu usiue alikuwa anamwambia nani? Maana mnapinga kwa kumshirikisha Mungu.
Toa maelezo
Mungu kaweka wazi damu ya shoga ipo juu yake shoga, haimuhusu anaetekeleza mauaji

Shoga ukiliua ni kwamba kwa Mungu anasema shoga kajiua
 
Hapo ubungo aliwahi tokea kijana kama huyo baba hakuweza kuhimili aibu akafa pressure.

Kijana akabaki na mama siku moja kamletea mama yake wageni eti anataka kuolewa.

Mama kapata stroke naye akafa

Kijana naye aliishafariki. Kuna mambo magumu sana duniani
 
Hapo ubungo aliwahi tokea kijana kama huyo baba hakuweza kuhimili aibu akafa pressure.

Kijana akabaki na mama siku moja kamletea mama yake wageni eti anataka kuolewa.

Mama kapata stroke naye akafa

Kijana naye aliishafariki. Kuna mambo magumu sana duniani
Soo sad, usodoma utatua ni laana sana
 
Ndii suluhisho kwake ndio, pumbavu zenu mnahalalisha upuuzi Kwa mwamvuli wa haki za binadamu
Hajui kama mzazi nae ana haki ya kuheshimiwa. Kwanini asifanye huo ufirauni wake huko huko mpaka aje kufanya utovu wa adabu mbele ya mzazi wake.
Safi sana mzazi ilikuwa uwatwange nyundo za kichwa wote wawili.
 
Na ile amri ya 7 katika amri kumi za Mungu alikuwa anamwambia nani?

Amri ya kuua mtu haihusishi mazingira au watu hawa.
1. Mtu mchawi anauawa.
2. Shoga anauawa(ushoga na usagaji)
3. Anayelala na Mama au Baba au mtoto wake au mama/Baba Mkwe anauawa
4. Anayelala na mnyama anauawa.
5. Mhaini wa Aina yoyote anauawa hiyo IPO Kidini na kisheria za ulimwengu
6. Msaliti wa kutoa Siri nyeti za nchi na Jeshi anauawa.
7. Kuchukua mke au mume wa mtu unauawa.
8. Kuvamia nchi au kuchukua eneo la nchi nyingine unauawa

Hizo ni sheria zipo natural, ipo hivyo. Kidini na kisheria.
Wala usijedanganywa MUNGU atalipa.
Ukitaka kufa mapema basi jaribu hayo niliyoyaandika hapo.

Uwaambie na watoto wako kama wewe unaakili za kudanganywa na Shetani kuwa hakuna kitakachokufanya ufe Kwa kuuawa basi hayo ndio yatakayokufanya uuawe mapema na hiyo ni amri sio Ombi.
 
Amri ya kuua mtu haihusishi mazingira au watu hawa.
1. Mtu mchawi anauawa.
2. Shoga anauawa(ushoga na usagaji)
3. Anayelala na Mama au Baba au mtoto wake au mama/Baba Mkwe anauawa
4. Anayelala na mnyama anauawa.
5. Mhaini wa Aina yoyote anauawa hiyo IPO Kidini na kisheria za ulimwengu
6. Msaliti wa kutoa Siri nyeti za nchi na Jeshi anauawa.
7. Kuchukua mke au mume wa mtu unauawa.
8. Kuvamia nchi au kuchukua eneo la nchi nyingine unauawa

Hizo ni sheria zipo natural, ipo hivyo. Kidini na kisheria.
Wala usijedanganywa MUNGU atalipa.
Ukitaka kufa mapema basi jahadribu hayo niliyoyaandika hapo.

Uwaambie na watoto wako kama wewe unaakili za kudanganywa na Shetani kuwa hakuna kitakachokufanya ufe Kwa kuuawa basi hayo ndio yatakayokufanya uuawe mapema na hiyo ni amri sio Ombi.
Takwimu zako zinaonyesha mmeua wangapi hadi sasa?
 
Kwanini amekimbia??
Angebaki ili tujue kweli alikua ana uchungu,

Tena mwambieni atakamatwa na atakua chakula huko huko Jela

Damu ya Mtu hua haimwagiki bure
Mbna Iko wazi kua alikimbia kwasababu alijua atakamatwa na kufungwa, haimaanishi kama anauchungu ndio hata fungwa mkuu
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
kuuwa ni sahihi kama mungu alivyofanya sodoma na gomora
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Acheni kupotosha watu kwa kisingizio cha haki za binadamu huo ni upuuzi nampongeza sana huyo baba ningekuwa mm ningemnywa supu huyo mfuasi wa [emoji304]
 
Takwimu zako zinaonyesha mmeua wangapi hadi sasa?

Husikilizi taarifa ya habari?
Sio kazi yangu kutoa ripoti za takwimu.
Fuatilia taarifa za habari za mauaji ndio utajua amri za Mungu hazijawahi kubadilika.

Au kama unataka uingie kwenye listi, tembea na waume za watu hasa wanawake wenye nguvu za hadhi na kiuchumi uone takwimu watakazokupa maana nawe utakuwa mmoja wa watakaouawa

Sio kila mtu ni wakuchezea
 
Back
Top Bottom