Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mchuano ni mkali humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Makasiriko sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eniwei Kudos to mzee
Fikiria kijana umemlea kwa maadili na unataka aje kuwa baba wa familia na aendeleze kizazi na familia yenu, mara paaaap "mumy huyu hapa ndio boyfriend wangu"🥲 maniner!
 
Nimesoma mambo ya Sodoma na Gomora sio Gomola ila sijaona mahali hayo maandiko yanasema watu wake walipigwa kibereti kwa sababu ya ushoga.
Sawa mkuu kumbe ni Gomora na siyo Gomola kama nilivyoandika, je wale Malaika waliotumwa na Mungu watu wa pale walitaka kuwafanya nini kama kweli umesoma mambo hayo
 
Mkunje samaki angalia mbichi, kama wewe baba ulishindwa kumlea akiwa mdogo muache na "uhuru" wake. Sasa acha haki za binadamu wakushughulikie.
 
Uchoko na uuaji wote lao moja...kama mzee aliona yuko sawa kwanini akimbilie misitu ya kongo..angebaki tu hapo na kuwaeleza polisi jinsi anavyojivunia kuua choko.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Nataka Mistari ya kwenye Kitabu, inayosema "Shoga auwawe"

Mistari ya Mwanzo illikua hadithi za Sodoma na Gomora na mistari ya sasa haipo kwenye Qur'an,

Nataka iliyopo kwenye Qur'an Mungu alipomtuma Mwanaadam kua akimuona Shoga amuue,

Hivyo tu
Ushauri wangu kwako ni mmoja tu!

Acha ushoga
 
Jibu swali,
Umesema Mungu alileta Wanaadam ili wazaane mbona tuna Wagumba na Matasa??
Quran 42:49-50

"To Allah belongs the dominion of the heavens and the earth; He creates what he wills. He gives to whom He wills female [children], and He gives to whom He wills males. Or He makes them [both] males and females, and He renders whom He wills barren. Indeed, He is Knowing and Competent."


"Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba apendavyo, anamtunukia amtakaye watoto wa kike, na anamtunukia amtakaye watoto wa kiume.
Au huwachanganya wanaume na wanawake, na akamfanya amtakaye tasa. Hakika Yeye ni Mjuzi Mwenye uweza"
 
Acha kujifichi kwenye haki za binadamu we shoga,, mashoga hamna haki ya kuishi
 
Kwa hiyo kumbe ni wazo lako binafsi kuua na sio kama Mungu amekutuma,

Kumbuka kuna Serikali pia haiwezi kukuacha salama,
Imagine umeua mtoto wako ambaye ni Shoga halafu unaenda Gerezani unakutana na wahuni wa jela wanakwambia "Don Drop da Soap" [emoji2960]

Man he will always be a man huwez letewa ushenzi huo kama kama kweli ni kidume ila ukiwa na element za ivo kama wewe huenda ukafanyiwa ivo maana mwanaume anaonekana tu kwa macho na matendo
 
Quran 42:49-50

"To Allah belongs the dominion of the heavens and the earth; He creates what he wills. He gives to whom He wills female [children], and He gives to whom He wills males. Or He makes them [both] males and females, and He renders whom He wills barren. Indeed, He is Knowing and Competent."


"Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba apendavyo, anamtunukia amtakaye watoto wa kike, na anamtunukia amtakaye watoto wa kiume.
Au huwachanganya wanaume na wanawake, na akamfanya amtakaye tasa. Hakika Yeye ni Mjuzi Mwenye uweza"
Umeona sasa,
Kama Mungu anamchagua amtakaye kua Tasa kwanini wengine waumie wakiwaona Mashoga?

Ukizingatia hao Mashoga na Matasa na Wagumba wamezaliwa na hao hao wanaozaana.
 
Wapi nimesema hizo habari tofauti na wewe kujifanya kuwa sijui unafirwa, acha hizo mkuu. Tujadili ishu za maana achana na mambo ya ushoga
Kwenye Mada za Ushoga ulikuja kufata nini??
 
Uchoko na uuaji wote lao moja...kama mzee aliona yuko sawa kwanini akimbilie misitu ya kongo..angebaki tu hapo na kuwaeleza polisi jinsi anavyojivunia kuua choko.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
Na ndio mada iliyopo hapa,
Kama kuua shoga ni ushujaa Mzee asingekimbia angekaa hapo hapo na Maiti ya mwanae asubiri apewe Tuzo,

Na huko Kongo asije akakutana na wale Mbilikimo wala Watu wakamchoma kama ndafu angerudi tu atumikie kifungo chake cha Maisha
 
Kama wanaume wote wange amua kuwa mashoga kama ninyi mashoga wa haki za binadamu basi leo hii dunia ingekuwa nyeupe pasi na kiumbe aitwaye mwanadamu.

Gays are the most selfish people on this planet.why?

Wanatishia ustawi wa kiumbe kinachoitwa binadamu katika ulimwengu huu. Tumeumbwa ili tuje tuzaane wao wanapinga hili na kusema kuwa tusizaane bali tunyanduane wenyewe kwa wenyewe
Wewe tangu umekua hadi kufikia hapo kuna Mtu alishawahi kuja akakwambia akufire???

Sio kwa Ubaya nataka nijue ili tuendelee na mjadala
 
Back
Top Bottom