Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mumewe anasemaje baada ya mkewe kuuwawa na baba mkwe?
 
MZEE HAKUTAKA FEDHEA YA NAMNA HII KWA KIASI NAMSIFU SANA JAMBO HILI NI BAYA SANA NA LA FEDHEA SANA KWA FAMILIA ZETU ZA KIAFRIKA
 
HII NI KAMPENI KABSAA HUMU JAMII FORUM



you can not eat two cakes and have all. Father(He) was right to push him down
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Mwacheni Mzee wa watu akaishi kwa amani huko aliko. Hilo limtu lipumbavu lilileta upumbavu nyumbani. Acha likufe vibaya. Ngekuwa mimi Mkuu wa Polisi ningewaambia Polisi waachane na habari ya kumtafuta huyo mzee. Au wamtafute wakimpata wamwambie arudi Zambia ila akaishi Mkoa Mwingine atulie....
 
Ngekuwa mimi Mkuu wa Polisi ningewaambia Polisi waachane na habari ya kumtafuta huyo mzee.
Ndio maana huwezi kuwa polisi kwa sababu wewe ni chizi-maarifa-kiduchu.

Achilia mbali kuwa mkuu wa polisi, hata kuwa tu polisi wa hovyo hovyo huwezi kupata hiyo nafasi kwa sababu huna vigezo vya utulivu wa kiakili.

Utafyatulia watu bunduki barabarani.

Wewe utabaki tu huko chini kwa walamba vumbi siku zote.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.

Kwahiyo mtoa mada naww unapumuliwa nyuma????
Shame! hili swala ni lakupingwa kwa nguvu zote amna cha hisia wala nn hili swala linalelewa na watu wajinga
Na ni kwann wanatumia nguvu kubwa kuhalalisha huu upuuzi?
 
Ndio sio maadili ya kiafrika wala dini haziruhusu. Sasa niambie kwanini amue mtoto kisa kaleta mpenzi wake nyumbani? Huoni kama kila mtu atajicjukulia sheria mkononi tutafika kweli?

Ni swala gumu sana kulipokea kama mzaz wa mtoto wa kiume anakuja kukutambulisha mume wake?
Acha iwe hivyo ili iwe fundisho
 
Laana za Mungu ziwe juu yenu mashoga (wafiraji na wafirwaji).
 
Nimepata habari zao,
Wanalambwa na kufyozwa vinyeo na wake zao huku wanapakazwa pipi kifua, ila wakija hapa wanajitutumua wakati kitandani wanabinua viuno
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi kwenye ule uzi wao wa fantasy... umeona?
 
Back
Top Bottom