Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
ππππππMissionary my foot!! acha zako hizo! Tena unaonekana unajiamini kweli ni mashuti heavy nonestop! Utakua vizuri wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππMissionary my foot!! acha zako hizo! Tena unaonekana unajiamini kweli ni mashuti heavy nonestop! Utakua vizuri wewe
Unakimbilia wapi weweee baki hapaa unisimulie vizuri mambo yako mazitoππ!ππππππ
Kweli Uzee shida, yaani hapo nimekimbia mita 500 tu tayari nahema Juu juu, imagine upo na dogodogo si ataniua kitandani ππ€Έπ€Έπ€ΈUnakimbilia wapi weweee baki hapaa unisimulie vizuri mambo yako mazitoππ!
Wanaume hamzeekagi nyie hata kama kizeee unakuta kinatembeza bakora sio kitoto!!Kweli Uzee shida, yaani hapo nimekimbia mita 500 tu tayari nahema Juu juu, imagine upo na dogodogo si ataniua kitandani ππ€Έπ€Έπ€Έ
Hahaha........Umri huu ni wa kupata Mzee mwenzako tu, ukijichanganya kwa Hawa Vijana ni hatari kwa afya ππ€ͺWanaume hamzeekagi nyie hata kama kizeee unakuta kinatembeza bakora sio kitoto!!
Tena hizo mita 500 Ndio unajua fit sana
Awapii... huo uzee ukipata kibinti ndio vizuri unakichakaza mpaka kinakuheshmu na salute juuπππHahaha........Umri huu ni wa kupata Mzee mwenzako tu, ukijichanganya kwa Hawa Vijana ni hatari kwa afya ππ€ͺ
ππ€Έπ€Έπ€ΈAwapii... huo uzee ukipata kibinti ndio vizuri unakichakaza mpaka kinakuheshmu na salute juuπππ
Vi emoji vyako tu unaonekana balaa sana wewe!! Ni Moto wa kuotea mbali!ππ€Έπ€Έπ€Έ
Hapana Mkuu, useme napenda mazoezi ya kuchangamsha mwili kidogo kama hivi π€ππVi emoji vyako tu unaonekana balaa sana wewe!! Ni Moto wa kuotea mbali!
Hahahahahaha... Sawa na Inapendeza sana!Hapana Mkuu, useme napenda mazoezi ya kuchangamsha mwili kidogo kama hivi π€ππ
Karibu kwa jogging Mkuu π€ͺππ€Έπ€ΈHahahahahaha... Sawa na Inapendeza sana!
Nije tufanyie hio jogging Wapi sasa??Karibu kwa jogging Mkuu π€ͺππ€Έπ€Έ
Napatikana Mitaa ya Ferry, jirani na ofisi ya Waziri Mkuu. Tupo tuna uza uza Samaki hapo ππππNije tufanyie hio jogging Wapi sasa??
Ndio wapi hapo?? Hebu nielekeze vizuri nije tuungane kwenye jogging MkuuNapatikana Mitaa ya Ferry, jirani na ofisi ya Waziri Mkuu. Tupo tuna uza uza Samaki hapo ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkitoka hapo hamgeuki walaiMimi hua natumia hii na shingo haiumiView attachment 2471753