Haya ukiwa tayari kwa jogging nistueLeo nimeshindwa kufanya jogging, Wazee tulikuwa na kikao chetu Jioni hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ukiwa tayari kwa jogging nistueLeo nimeshindwa kufanya jogging, Wazee tulikuwa na kikao chetu Jioni hii
Nawewe ni kijana mbona uzee Mwisho chalinze!Hayo mambo ya Vijana, sisi wengine Umri umetutupa mkono 🤪
Sawa MkuuHaya ukiwa tayari kwa jogging nistue
Miaka 78 mchezo 🤪Nawewe ni kijana mbona uzee Mwisho chalinze!
Kama mimi tu Nilivo na miaka 80Miaka 78 mchezo 🤪
We acha tu nina siku ya tatu shingo inauma kama nimepata ajali na koo lipo kama nimetoka kuvuta sigara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkitoka hapo hamgeuki walai
Pole sana igaiga mtakuja kufa Huku zimechachamaaa wakuu n jifanyeni nyie ndio mnajua mapenzi 😎!We acha tu nina siku ya tatu shingo inauma kama nimepata ajali na koo lipo kama nimetoka kuvuta sigara
AseeeMapenzi bwana.
Juma kisauti a.k.a mnyamwezi wa Mgeta Roro mkoani Morogoro amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababishia ulemavu wa kudumu kwa mpenzi wake walipokuwa wakinyanduana.
Katika harakati ya kuitafuta G-SPOT juma kisauti alimkunja kisawasawa msichana huyo kiasi kilichopelekea binti huyo kushindwa kupumua vizuri na kupelekea mshituko kwenye uti wa mgongo ambao mwisho wa siku binti huyo akapata stroke pale pale.
Juma alisema yeye dhamira yake ilikuwa kuifikia G-SPOT ya mpenzi wake huyo na hakujua kama kumkunja vile mpenzi wake kungepelekea kushtua pingiri za uti wa mgongo.
Juma kisauti amesema kwamba alipokuwa anasikia mpenzi wake analia kwa sauti ya uchungu huku akitetemeka mwili mzima, yeye alijua labda pengine ndiyo ameifikia G-spot hivyo aliongeza kumkunja ndipo aliposikia kitu kimelia kooooo.
Daaah balaa tupu.
😀hii ilikuwa ni violent coitusMapenzi bwana.
Juma kisauti a.k.a mnyamwezi wa Mgeta Roro mkoani Morogoro amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababishia ulemavu wa kudumu kwa mpenzi wake walipokuwa wakinyanduana.
Katika harakati ya kuitafuta G-SPOT juma kisauti alimkunja kisawasawa msichana huyo kiasi kilichopelekea binti huyo kushindwa kupumua vizuri na kupelekea mshituko kwenye uti wa mgongo ambao mwisho wa siku binti huyo akapata stroke pale pale.
Juma alisema yeye dhamira yake ilikuwa kuifikia G-SPOT ya mpenzi wake huyo na hakujua kama kumkunja vile mpenzi wake kungepelekea kushtua pingiri za uti wa mgongo.
Juma kisauti amesema kwamba alipokuwa anasikia mpenzi wake analia kwa sauti ya uchungu huku akitetemeka mwili mzima, yeye alijua labda pengine ndiyo ameifikia G-spot hivyo aliongeza kumkunja ndipo aliposikia kitu kimelia kooooo.
Daaah balaa tupu.