Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Safi sana oa kabisa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mtoto ni mtoto tu,sa ingine nawewe ulizaliwa nje ya ndoa ila unataka kumkataa huyo malaika!Acha ujuha
 
Wanajua kuji position kama kamati za mwenge lazima ukaupokelee nje ya mkoa au wilaya yako kama mafala vile kumbe unaliwa timing ukiyakanyaga imekula pande yako
 
Sio kila mwanaume ana uwezo wa kupangua gia (gear )wengine uwezo wetu likija bao basi ndo unakandamiza hivyo vigezo vyako havitufai.Kwanzs fikra zinahama waja kukumhuka waqt anakwambia ahsante baby wajistukia kumbe umeuza mechi umeloweka.
Kumwaga nje ni sawa na Daladala liwe kwenye speed 100 halafu Konda anakwambia ushuke kwa kuruka bila basi kusimama.
🤣🤣
 
Makubwa haya jamani, mara umeshakuwa kunguru wa mjini ? [emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Pole Sana mkuu,
Kwenye Tasnia yetu kule tunaitaga DRAW NO BET[emoji23]

Kuna kipind almanusra niingie kwny mkenge Kama wewe[emoji85]
Team 1 to win with Cleansheet - NO ..... Mkeka umetiki hapo 😂😂😂
 
Angalia usivunje Amri Kuu ya Sita.
Kufanya vyovyote kuitoa ni kuua, hivyo utavunja mojawapo miongoni mwa amri kuu za Mungu.
 
Jamuhuri ya Bibi yako we mtu anategesha mimba kwa maslahi yake hajiulizi mtoto ataishije. SITAKI KULETA MTOTO THEN NIWE NAMFICHA KAMA GONIA LA BANGI
Ndio atakuja maana mama kaamua aje
 
ninekuambia sijapanga KUZAA nje NITAVURUGA familia imegoma kuniingia akilini potelea pote na mpunga usiote hata kama hilo Toto litakuwa Diamond au Harmonize nitalikana mwanzo mwisho kwa sababu sijaplan huu ujinga
Utakuwa fara wa kwanza kukataa vinasaba vyako ndani ya damu ya mtoto
 
Kwa hiyo Baba Junior , tunataka tamko la mwisho sisi mashangazi.

Mi na na Dina kwa niaba ya malegendary wa MMU na jukwaa letu lile.

Tunataka tamko la kufungia thread.
 
Subiria mtoto azaliwe ukamkanyage afe ili ukafungwe ukaozee segerea. Wakati unamtomba hukushirikisha hapa jukwaani sahizi unataka watu wakushauri jinsi ya kumuua huyu kiumbe asie na hatia. Subiria azaliwe Kwanza

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kweli wewe jamaa ni mjeda (Janjaweed, Al Shabaab, Boko Haram), unatembea na demu wa kibongo bila kinga tena na umeoa? Anyways vuna mavuno yako kwani mbegu umepanda mwenyewe.
 
Mnfuuuuu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo kaiokota hiyo NDOA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…