Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mi janga hili ninalo na nshacope nalo mambo yanaenda kibingwa
Mpe mbinu mbwinu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi janga hili ninalo na nshacope nalo mambo yanaenda kibingwa
SIRI? nani kakwambia, huyo mama ndiye ataleta balaa. Wanawake waone hiviMi sioni tatizo hapo watoto ni baraka we lea mimba ilimradi iwe siri yako na yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama uliweza ku risk maisha yako kubanjuka bila kinga basi hata hili utaweza kulimaliza wewe mwenyewe bila msaada wa mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah, nimecheka kama chizi hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umelala yoooo
[emoji3][emoji3][emoji3]SIRI? nani kakwambia, huyo mama ndiye ataleta balaa. Wanawake waone hivi
Tulia azae uzuri ni teacher atalea tu ila umwambie iwe siri yenu! Hivi ndivyo wazee wetu walivyozaaga njedaa imekula kwangu natamani nishiko shoka nikampasue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo utajua hujui sasa, ulipokua unamwaga wa Africa tena ndani ulitegemea nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Havikawii kuja na tumbo kuniulizia kazini au nyumbani
Mtoto akizaliwa unamwambia wifeMpe mbinu mbwinu
Wewe ni Mpuuzi! Full stopKuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikaz
Mtoto akizaliwa unamwambia wife
atafura wiki kadhaa au miezi mwisho atakubali matokeo tu.
Long distance relation haijawahi kuwa salama aisee
Sifichi ndioNa mtoto huwezi kuficha
Mtoto wa nje? Ndio nini?Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichur...
Kwani wewe ulikuwa unamwaga kokoto?Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri...
Tupo wengiDah!. naona changamoto zetu zinafanana kwa % kadhaa.