Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Jibu hili ndio litafata 😂😂🤣 hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!Haaa haaa haa kwahiyo kapata chaka la kujihifadhi na ndiyo upo mbali na mkeo anachukua nafasi taratibu, atamwambia nitaelea mwenyewe asubili mtoto azaliwe atamwambia nitambulishe kwa ndugu tayari mke wa pili
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app