naombaNdo ukome [emoji13]na mimba za hivyo hazitokagi hata kwa dawa.... na mtafanana balaa na mwanao mtarajiwa,.woii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naombaNdo ukome [emoji13]na mimba za hivyo hazitokagi hata kwa dawa.... na mtafanana balaa na mwanao mtarajiwa,.woii
nadhani ndio gia aliyoanza nayo kumwambia mdau, ikawa kwel.Unasema huyo mwanamke amehangaika sana kutafuta mimba au?
Halafu we umepiga kavukavu
Yeah huo ndio mpango wangu ila ndio hivyo tena changamoto ndani ya family.Ikiwa ni damu yako usiikatae
Mwanaume ni akili kubwa hashindwiYeah huo ndio mpango wangu ila ndio hivyo tena changamoto ndani ya family.
Ataakuacha unaogopa au?kweli
Haa haa haa kwani wewe hujuiIna maana ilikuwa mbinu ile
Billie ni cheupe huyo mwalimu?kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu hili ndio litafata [emoji23][emoji23][emoji1787] hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
Kwahio billie gates amekuwa marioo sikuhizi au hata DP huioni hio!Mzee baba hapa inavyoonekana mkeo ndo kila kitu yaani kifupi ww ni Marioo kwake.. sasa uoga wako Ni huu msala utakuharibia kwa mkeo[emoji28][emoji28]
Kumbe wewe tayari, lea tu kama unaukika ni wakwakoBaba kijacho ni mwenye uzi mi mtoto nshampakata tayari
NdiyoWaunde group wabwinu mbinu [emoji23][emoji23][emoji23] cx Billie
Kenge Mwenye akili lakini! Dada yako akifanyiwa hivi utafurahi?mpuuzi mwenyewe kenge mkubwa
Nini....!??🙄🙄naomba
Eeee asirudie tena wakati mwingine 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utafanya mdau azimie kwa comment hii