Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Jibu hili ndio litafata [emoji23][emoji23][emoji1787] hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee baba hapa inavyoonekana mkeo ndo kila kitu yaani kifupi ww ni Marioo kwake.. sasa uoga wako Ni huu msala utakuharibia kwa mkeo[emoji28][emoji28]
Kwahio billie gates amekuwa marioo sikuhizi au hata DP huioni hio!
 
Mkuu pole kuoa mwanamke anayependa kazi kuliko ndoa na familia. Ona sasa katika kujaribu kutafuta ukaribu na mtoto kupitia mwalimu mkafikia uko kusikojulikana.
Mwaka fulani aunt yangu aliwahi teuliwa uafisa elimu wa wilaya akaukataa kisa wilaya iko mbali sana na familia yake. Sema ni mshikadini kiasi kwamba akifunga kuhusu wewe baada ya kama wiki anakupa idadi kamili ya mimba ulizowahi toa au kukataa, hatishi ila anaogopesha na huwa namuhurumia mme wake.
 
Back
Top Bottom