Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ina maana ilikuwa mbinu ileHaaa haa wewe fedha yako na ist yako kwanini asikung'ang'anie!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana ilikuwa mbinu ileHaaa haa wewe fedha yako na ist yako kwanini asikung'ang'anie!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Aise na una mke nyumbani?Wanawake wana hila nyingi, hasa huyu wangu naona anahisi kupitia mtoto amenipata, umebaki mwezi mmoja ajifungue lazima nimpime mtoto
Mimi sio bikra, mimi ni Depal.Kwani wewe bikra mkuu?
Kama unanipenda tupeane vitu[emoji28][emoji28][emoji28]
Changanya malapa, sikutakiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi sio bikra, mimi ni Depal.
Nakupaje sasa wakati ushapeana huko? Sharing can't be sweet.... Nimevua matamanio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo ukome [emoji13]na mimba za hivyo hazitokagi hata kwa dawa.... na mtafanana balaa na mwanao mtarajiwa,.woii
🤣🤣🤣🤣 mbona huombi kufikiriwa? We ni mzembeChanganya malapa, sikutakiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila poah tu liwalo na liwe sina namna tena kama mbwai na iwe mbwai vyovyote vile me niko tayari.Loooh
Inafikirisha...Sasa waweza kuta pamoja na hekaheka zote hizo kumbe mimba kapewa na mwalimu mwenzie.
Baba kijacho ni mwenye uzi mi mtoto nshampakata tayari
Ikiwa ni damu yako usiikataeIla poah tu liwalo na liwe sina namna tena kama mbwai na iwe mbwai vyovyote vile me niko tayari.
Nataka tutongozane kibabe sio kubembelezana kitoto[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona huombi kufikiriwa? We ni mzembe