Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

We mkuu kubali tu kuwajibika kwenye mimba hiyo huna haja kukwepa

Kwani wakati ulipokua unaenjoy kumwagia ndani ulitegemea unatoa maziwa?
 
Usijipe stress bwana, unaweza kukuta hata io mimba sio yako. na kama ya kwako si ulimkula mdada wa watu sasa unataka kutoa ya nini?? relax, alafu jivunie we kidume...
 
Mimi sio bikra, mimi ni Depal.

Nakupaje sasa wakati ushapeana huko? Sharing can't be sweet.... Nimevua matamanio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Changanya malapa, sikutakiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Billie lea mkuu, abortion sio nzuri. Usikute huyo dada ako na 28+ halafu umwambie atoe mimba unadhani atakuelewa?

Wakati unatikisika na kuunguruma kwa utamu wa mshindo basi na ufurahie matokeo.
 
Akuna mtoto Wa nje wala Wa ndani.mtoto ni mtoto na akunaga mtoto haram mkuu.chakufanya kubaliana na hali iliyotokea na kumlea ikiwa ni mwanao kibaiolojia.usimkatae mtoto mkatae mama yake mana mkiendeleza mahusiano ni hatari sana.wanambinu za kigaid pind atakapokukumilik.na wanaume tutambue sisi tunatembea na mimba zetu kila siku. Wanaeake wanasiku zao za kupokea kutoma kwetu.hiyo imeshapangwa kuwa hivyo.bao lako LA ushind ndo linamleta junior au omega kama walivyochangia wadau
 
mwache tu kwan hukujua bila kutumia kinga anaweza akapata ujauzito,hapa naona ulirisk sana kula tunda bila kinga ,hivi ungependa akuletee taarifa kwamba ameadhirika au anaujauzito wako?ebu chagua ipi ingekuwa taarifa ya afadhali kwako
na tena anashukuru kwa kumpa iyo mimba ww ni nan ukatae?relax na ukubali matokeo ,ameshajua hutaki kupata mtoto na yy na ameshakubali kuwa single maza#relax
 
Kamanda Hongera Sana
Hapa Kila Mtu Anapenda Kuloweka Maana Kuna Raha Yake
Unapata Ya Dar es Salaam Na Dodoma
Kulala Katikati Ni Pazuri 😂😁😀😀
Wote Tuendelee Kuloweka Elimu Ni Bure 😣😇🤗🙂☺😶😑😐🙄😏
 
Back
Top Bottom