Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
SafiiSifichi ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SafiiSifichi ndio
Undeni groupTupo wengi
Kirahisi ana kubali mmm subilia chochoteMtoto akizaliwa unamwambia wife
atafura wiki kadhaa au miezi mwisho atakubali matokeo tu.
Long distance relation haijawahi kuwa salama aisee
Its a matter of time soon or later atalazimika kukubali, labda kama yeye ndio anarun the family
Mmh! Kibaya zaidi Sterehe ya muda mfupi inaenda kuvuruga malengo yote uliyojiwekea.Tupo wengi
Haaa haaa haa kwahiyo kapata chaka la kujihifadhi na ndiyo upo mbali na mkeo anachukua nafasi taratibu, atamwambia nitaelea mwenyewe asubili mtoto azaliwe atamwambia nitambulishe kwa ndugu tayari mke wa piliSasa waweza kuta pamoja na hekaheka zote hizo kumbe mimba kapewa na mwalimu mwenzie.
Al8yebeba anatunza hatuko vizuri naye aliniblock akabadili nambaUnatunza mimba??
We mwanamke unacheka mpaka nataman nikufanye mwandani wangu😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunakubali kinyonge tu lakini moyoni piga ua garagaza subilia kisasi na unakuwa ulishasahau kabisaIts a matter of time soon or later atalazimika kukubali, labda kama yeye ndio anarun the family
Ila mkuu usiwaze sana kila jambo lina sababu zake kwani baya la leo linaweza kuwa mzuri kesho.ubarikiwe sana
Hutaki kuzaa naye huku mtoto ameishaingia ,kwan amesema umuoe. Ye anataka mtoto acha alee mtoto anahitaji tu uwe baba basi ,sa hutaki kipindo ulipokuwa naye hukujua hili jaman? Leeni mtoto huyo mama wa watu she is happy maana kipengele cha kutafuta mtoto afu ukapata afu leo umwambie aitoe hakiwezekan . ushakua baba na una mtoto nje ya ndoa jiandae tu mkisaikolojia na jinsi gan utalea .Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri.
Nilifanya ujinga sana, huyu demu nilimtema ni king'ang'anizi sijawahi kuona, ipo siku akajifanya mgonjwa na anahitaji msaada, huruma iliniingia na rafiki yangu akaniambia plz weka kinyongo pembeni msaidie na akaamua kunisindikiza.Mmh! Kibaya zaidi Sterehe ya muda mfupi inaenda kuvuruga malengo yote uliyojiwekea.
Sizungumzii yajayo.Utadumu ndugu yangu
Ngoja nisubirieTunakubali kinyonge tu lakini moyoni piga ua garagaza subilia kisasi na unakuwa ulishasahau kabisa
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app