NIkuambie tu ukweli kinachonitisha ni kuwa mke wangu akianza malipizi na ule umbali tutapoteana kama familiaMzee baba hapa inavyoonekana mkeo ndo kila kitu yaani kifupi ww ni Marioo kwake.. sasa uoga wako Ni huu msala utakuharibia kwa mkeo[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23]eti waafricaNdo utajua hujui sasa, Ulipokua unamwaga wa Africa tena ndani ulitegemea nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee wanawake mbinguni watapaskiaJibu hili ndio litafata [emoji23][emoji23][emoji1787] hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
KAZI unayoNahisi hana mimba yule
[emoji23][emoji23]Mwambie uko Pakistan.. Hivo utakua hupatikani
Pole Sana mkuu,yaani we kenge umefurahi mimi kunasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oya Hebu nipe uzoefu mliishije?mi nimepanga kujirudi niombe gemu then nimuingizie vidonge kule kwenye papuch na dusherere langu aanze kubleed na ndo mwisho wa kujuana na wanawake mandenzi kama yeye.dah, mimi kuna binti sina mpango naye na alijua kabisa, siku hiyo kaja kanilazimisha nile papuchi balaa, sipendagi kula papuchi kwangu , na sikuwa na hamu kivile kanilazimisha sana . mwisho nikaenda guest nikiala akasema tena nitatumia dawa nataka kavu dah kidume nikala, kumbe kanitegea bhn, kapata mimba hataki kutoa tumegombana kwa mara ya kwanza nikajikuta natoa tusi, siyo desturi na kawaida kwangu, nikawa sina jinsi, mwezi wa saba huu, na anaomba hela balaa yani anaboa kweli
Contradictions nyingi sana kwenye maelezo yako. Kwanza mkeo mpo mbali na anathamini kazi kuliko anavyokuthamini wewe, kwa lugha nyingine ni kuwa akipewa options aache kazi ama akuache wewe nadhani jibu unalo. Pili unakubali kuwa umemtia huyo mwalimu mimba lakini unakataa matokeo. Usaidiwe vipi mkuu ?Kuna Mwalimu fulani anamfundisha mwanangu shule niliyomuhamishia baada ya Mimi kuhamishwa kikazi.
Ili kumfanya awe karibu na mwanangu nikawa nampa hela Mara kwa mara kumbe mwenzangu amevutiwa na mimi si tukafika point tukaanza kulana kichuri.
Kifupi amepata mimba ya mwezi mmoja na hataki kusikia habari ya kutoa, anadai alikuwa anahangaika kupata mimba na ananishukuru mimi kwa kumpa mimba. Mimi nimeoa wale Wanawake wanajiita wasomi yaani anapenda kazi kuliko mume na tunakaa mkoa tofauti tofauti kwa sababu ya kazi.
Mimi nimepanic Ilayeye ana furaha ya ajabu kiasi kwamba nikiona hivyo nazidi kupagawa. Anakataa hata kukutana na mimi, anajua naweza nnikamnyang'anya mimba yake.
KI UKWELI MI SITAKI KUZAA NAYE KWA SABABU NITAVURUGA NDOA YANGU.
Tusaidiane namna gani naweza kuukwepa huu mtego. Sitaki tena sitaki kuwa na mtoto wa nje
ninekuambia sijapanga KUZAA nje NITAVURUGA familia imegoma kuniingia akilini potelea pote na mpunga usiote hata kama hilo Toto litakuwa Diamond au Harmonize nitalikana mwanzo mwisho kwa sababu sijaplan huu ujingaDamu yako unawaza kuua kisa mwanamke yaaani. Upumbavu kweli.
Uzinzi ni kosa lako ila damu yako haina makosa muuaji.
Unatombana bila condom halafu unajiambia ni ujinga kuzaa nje ya ndoa akili za kizembe.ninekuambia sijapanga KUZAA nje NITAVURUGA familia imegoma kuniingia akilini potelea pote na mpunga usiote hata kama hilo Toto litakuwa Diamond au Harmonize nitalikana mwanzo mwisho kwa sababu sijaplan huu ujinga
ngoja nikunong'onezeNini....!??[emoji849][emoji849]
Jamuhuri ya Bibi yako we mtu anategesha mimba kwa maslahi yake hajiulizi mtoto ataishije. SITAKI KULETA MTOTO THEN NIWE NAMFICHA KAMA GONIA LA BANGIUnatombana bila condom halafu unajiambia ni ujinga kuzaa nje ya ndoa akili za kizembe.
bwana mzinzi, huyo mtoto ni mali ya Jamhuri ni vile tu Jamhuri hatuwezi kukualocate ulipo. Ungefahamu maana ya neno mali ya jamhuri kisheria.
Alikuvua condom? Au ilipasuka? Unategeshewaje mimba kifala fala? Huyo mtoto ni damu yako unamficha wa nini? Au wewe ndo umeolewa mkeo ndo mume? Mwanaume unaogopa kumwambia mkeo una mtoto ukamuomba msamaha yakaisha? Embu kaongee na babu zako wakushauri kama wapo hai.Jamuhuri ya Bibi yako we mtu anategesha mimba kwa maslahi yake hajiulizi mtoto ataishije. SITAKI KULETA MTOTO THEN NIWE NAMFICHA KAMA GONIA LA BANGI