Ana mtoto wa miezi mitatu, pia anaujauzito wa wiki tatu

The Infamous

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2009
Posts
731
Reaction score
121
Wana Jf,

Naomba kila mmoja ajaribu kuvaa huu uhusika, kisha nipe ushauri.. Mke ana mtoto wa miezi mitatu lakini kapata ujauzito na sasa wiki tatu, utafanya nini wewe kama baba au mama? Ushauri gani unafaa ana mambo gani inabidi kuzingatiwa katika wakati kama huu?
 
Duh kazi na dawa hata kidonda hakijapona!
 
Mbemendo at work
 
asubiri kijifungua na watoto wataonekana mapacha hiyo ni nyota ya zambarau
 
asubiri tu kujifungua,ila sasa mchukue tahadhari mwe mtakuwa na watoto kama kumbikumbi,
 
muache tu amlete mtoto duniani! wala usimshawishi kufanya jambo la kishetani! WATAKUA TU HAO WATOTO BELIEVE MI, Wish you all the best.
 
Mh hata huyo baba mtu hana huruma wala subira!!
 
Duh, mtoto miezi mitatu, mimba wiki tatu. Hapo noumer, subirini tu matokeo.
 
Kwani shida iko wapi ??? ....ukipanda CHUMVI utavuna CHUMVI.
Yeye sio wa kwanza kuwa kwenye viatu kama hivyo...mimba itakua na mtoto wa miezi mitatu ataendelea kukua.
 
wanawake wengine mbona hawajihurumii na kujijali???? Na mume/mpz wake mbona mbinafsi hivyo?????

Sina la kushauri acha niende nikasikitike
 
azae tu,pacha hizo...ila ni mtihan mgumu hasa kama pesa ni za mawazo
 
HUO NI UZANDIKI KAMA SIO TAMAA> HUYO M,WENYE MKE ANAFANYA KANA KWAMBA HIYO NANIIII NI CHAKULA?????????? NA HUYO M,KE ALIKUA HAJUI SKU ZAKE?///:nimekataa
 
hiyo ni nyota nyekundu!! advice: mwache azae, asitoe hicho kiumbe!!
 
Pole najua ni bahati mbaya hakujua kuwa anaweza shika mimba. Maana mwili wa mwanamke imetofautiana kuna wengine wanaweza kaa mwaka mzima bila kuona mwezi wake. Hapo inatakiwa amnyonyeshe mtoto miezi 6 kisha amwachishe awe anampatia maziwa fresh ya ng'ombe siyo ya dukani(Nido) na itakuwa vizuri zaidi kama utapata ya ng'ombe wa kienyeji. Na mtoto wake atakuwa vizuri na afya njema. Najua atakavyo jifungua huyo watakuwa wamepishana mwaka mmoja. Huo ndiyo ushari wangu.
 
Kawaida mbona? People zinajidai kuona huruma na kumuona mwanaume bazazi bt kawaida after 40 days mwanamke anaweza tena kufanya mapenzi kama alijifungua kawaida, sasa kama kapata mimba hyo ni bahati mbaya tu ila haina shida kiviile! Mama aendelee kunyonyesha mwanae kwa miezi 3 iliyobaki cuz haina madhara then amwachishe ili mwili uweze kujijenga tayari kwa kumzaa huyo mwingne! Ampe vyakula vya kulikiza, mbona watakuwa vizuri tu? USIOGOPE bhana, la kawaida nanyi sio wa kwanza kuface hlo.
 
muache tu amlete mtoto duniani! wala usimshawishi kufanya jambo la kishetani! WATAKUA TU HAO WATOTO BELIEVE MI, Wish you all the best.

kweli kbs watakua vzr tu wakimlea mtoto wa miezi mitatu ipasavyo. Mi na dadangu tulofatana kuzaliwa tumezaliwa kwa staili hiyo. Dada akiwa na miezi minne mama akapata mimba yangu. Mpk leo tumekuwa watu wazima kbs.
 
Duh pole sana! Najua imetokea bahati mbaya wala hamkupanga kama washaur walopita anyonyeshe ikifika miezi 6 aache, ila ujitajihid safari nyingine kuwa mwangalifu zaidi, huyo mtoto jitahidi sana atakapoacha kunyonya apate vyakula venye virutubisho na zingatia maziwa halisi ya ng'ombe,pia kama pato la familia ni dogo jitahidi kuliongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…