The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Wana Jf,
Naomba kila mmoja ajaribu kuvaa huu uhusika, kisha nipe ushauri.. Mke ana mtoto wa miezi mitatu lakini kapata ujauzito na sasa wiki tatu, utafanya nini wewe kama baba au mama? Ushauri gani unafaa ana mambo gani inabidi kuzingatiwa katika wakati kama huu?
Naomba kila mmoja ajaribu kuvaa huu uhusika, kisha nipe ushauri.. Mke ana mtoto wa miezi mitatu lakini kapata ujauzito na sasa wiki tatu, utafanya nini wewe kama baba au mama? Ushauri gani unafaa ana mambo gani inabidi kuzingatiwa katika wakati kama huu?