Boli linatembea
Member
- Dec 21, 2022
- 66
- 167
This post 🤣🤣🤣Kajua akiacha beki 3 utarudi kimya kimya uje ukate kiu😄
Nguvu yako ni ipi hasa au unataka tukupe nguvu Sisi?! Ninadhani alijua baki tatu akibaki utajifanya umepata safari ya ghafla umerudi...halafu utakaa na beki tatu...umle!!... sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu, ushauri tafadhali ana nini huyu?
Maybe kwa sababu za kiusalama nyumba inabidi ibaki na mtuBeki 3 ulitaka ubaki nae nyumbani ili iweje?
Huyu beki tatu ni mpya wamekutana dar nilitaka amuache kwa mjomba na kila kitu nilishapanga na alisikia nikimwambia mjomba nia waende Arusha na Morogoro wakirud ndo wampitie waende nyumbani, kafanya tofauti anataka azunguke naeBeki 3 ulitaka ubaki nae nyumbani ili iweje?
si rahic niko EuropeNguvu yako ni ipi hasa au unataka tukupe nguvu Sisi?! Ninadhani alijua baki tatu akibaki utajifanya umepata safari ya ghafla umerudi...halafu utakaa na beki tatu...umle!!
Aaahhhh kuna shida gani akienda nae msaidie watoto ??Huyu beki tatu ni mpya wamekutana dar nilitaka amuache kwa mjomba na kila kitu nilishapanga na alisikia nikimwambia mjomba nia waende Arusha na Morogoro wakirud ndo wampitie waende nyumbani, kafanya tofauti anataka azunguke nae
Aaah kwann hasikii? Na kama alikua ana maoni tofauti si angesema kuliko kunipiga counter attackhivi wewe uko sawa kweli,au una shida ya afya akili?,jambo hilo ndio la kuleta hapa kweli,yaelekea hata kujamba mkeo umempa idadi ya kujamba kwa siku na asipotimiza utaleta hapa!