Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunya katikati ya hilo busSasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.
Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Hahahahaaaa.Kajua akiacha beki 3 utarudi kimya kimya uje ukate kiu[emoji1]
Utoto mno!...Minor case
sasa ushauri wa nini hapo, fanya tu hicho kitu ili ajue nguvu yakoHabari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.
Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.
Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.
Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.
Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Gubu+kudeka = kisebengoHivi hili ni deko au ni gubu?
Make halina mvuto heri deko zina vijimvuto
sijawahi kuona ujinga kama huu, yaani mwanamke kusafiri na mfanyakazi wake ndiyo imekuwa nongwa kwako wewe uliyeko mbali? Mbona huyo ni kama mwanafamilia tu na huwa tunasafiri nao ili angalau na wao waone wanathaminiwa.Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.
Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.
Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa si
Mkuu ndo kusema watu wa Europe huwa hamsafiri?!si rahic niko Europe
si rahic niko Europe
kitu wanawake hawajui kuwa Beki tatu ni mke msaidizi kwao.jiongeze mkuu kama una hasira na mke wakoHabari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.
Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.
Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.
Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.
Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwamba faza hauzi ana kisebengo, nmecheka sanaGubu+kudeka = kisebengo
Hilo neno nimekumbuka far sana nitakulabua 😂😂Unataka umlabue beki tatu