Ana nini huyu Mke wangu?

Ana nini huyu Mke wangu?

Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.

Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.

Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.

Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.

Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Mkuu uko mbali huko ni bora ukapunguza migogoro midogo midogo.
 
Mke

Mkeo ana akili kubwa Sana kuliko wewe.Mfano mzuri hapa Tyr umeshaonesha unyanyapaa Kwa msaidizi wenu wa ndani Kwa kutaka abaki na pia wamuita Beki 3... Jitathimini Acha ubwege wewe umeoa mwanamke Mwenye akili na IQ kubwa kuliko wewe Mwenye akili kama Nyumbu 🤣🤣
Mmmh
 
Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.

Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.

Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.

Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.

Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Mbona Boli linatembea unatuangusha wanaume wenzio? Shemeji anakupenda sana na kakuonea huruma mpaka kakuletea beki 3 umkunje utakavyo bado unalalamika, Mungu akupe zawadi gani tena zaidi ya kuwa na mke anayekujali?
 
Aaah kwann hasikii? Na kama alikua ana maoni tofauti si angesema kuliko kunipiga counter attack
It seems huko ulipo huna kazi ya kukuweka busy. Sawa hajafanya ulichosema, je ameua? Yaani umemuacha mkeo mnaongea naye ungemuuliza why umefanya kitu fulani, unakuja kutushughulisha Sisi?! Stop being petty
 
Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.

Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.

Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.

Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.

Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Kama unasafrii kwa bus kutoka nchi asilia kwemda nchi ya kazi/unapotafutia chakula usiseme uko nje ya nchi. Andika tu nafanya kazi/nasafiri kwenda nchi jirani.

Nje ya nchi unapanda ndege.
 
Wanawake ni Pasu kichwa mkuu, sie wengine tukianza kufunguka na yetu tutaishia kuzidisha hasira tu
 
Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.

Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.

Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.

Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.

Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Idiot
 
Back
Top Bottom