Anaandika Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Karagwe

Namba 10 nimerudia mara 10 kuisoma
 
Lucas wewe una utaahira fulani (sorry to say this) ama una aina fulani ya mtindio wa ubongo na hujijui kama una hizo shida..
Sifa ni kusifiwa na kamwe sio kujisifia. Ukishaona mtu anatafuta kwa nguvu sifa za kujisifia .. Huyo mtu tambua ana shida kubwa kwenye medulla
 
Viongozi wa wavaa kobazi tu ndio hua wanafungamana na shetani ccm, sijui kutokwenda shule ndio sababu? Hawajifunzi kwa viongozi wenzao wa upande wa pili?
Chochote watakachofanya mtaona ni kwa sababu hawajaenda shule na hupenda fujo magaidi.
 
10. Baba askofu uzoefu kaupatia wapi, ikiwa aruhusiwi
 
Mbona daktari mwenyewe amjeza matusi yasiyo na lazima?
 
No. 3. Unworking government machineries

Niliuliza hapa kutaka kupata tafsiri sahihi kwa kiswahili

Angalau kwasasa nimepata majibu yanayoridhisha, jibu ni mihimili isiyojitegemea lakini inatakiwa ijitegemee ili kuleta ufanisi kumbe inasubiri mavuvuzera na masimango ili ifanyakazi,

Swali hivi kwenye vibonzo vinavyo tembea kati ya Tom and Jerry ni yupi ana kaugonjwa ka kusahau ambaye akikongwa na nyundo haraka kumbukumbu zake hurudi haraka sana
 
Ingefaa Askofu Bagonza awe mshauri wa kiroho wa viongozi wa Chadema chini ya Tundu Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…