Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ungekuwa unajua usingeandika upupu ulioandika.Najua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa unajua usingeandika upupu ulioandika.Najua sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie nisijue hilo? Wee kidampaa umevurugwaa.Ingekuwa unajua usingeandika upupu ulioandika.
Ipi? Lengo ni kulinda brand ya msanii Ndio Maana wanafanya hivyo msanii ukiwa unaonekana sana kila mahali anapunguza hamasa ya watu kuudhulia show zakoNimewahii.
sasa kama ni hivyo kuna maana gani ya dogo kuitwa msanii wa kizazi kipyaBaba ake D Voice kasema, 1 ya sharti ktk mkataba wa mwanae, ni kutoonekana ktk Pub, club, bar etc.
WCB ktk ubora wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasafi kawaida yao wanapigana mavi kinoma paleIla yule dogo nawasiwasi nae. Kuna picha kapiga kavaa chupi ya kike.
Bam bam, nimezama. Wape taarifa, nimejifunza zisikilize hizi kwanzaIla kusema kweli huyu D -Voice bado napata wasiwasi kurejesha hizo hela…hivi wimbo gani kutoka kwake ni mzuri?
Hamna msanii pale sijui walijichanganya vipiIla kusema kweli huyu D -Voice bado napata wasiwasi kurejesha hizo hela…hivi wimbo gani kutoka kwake ni mzuri?
Una ushahidi acha kuchafua watu huenda ww ndo tabia zako kuliwa tako alafu unasingzia wengine kuhalalisha upumbavu wakoWasafi kawaida yao wanapigana mavi kinoma pale
Sasa pesa anayopata ataitumia wapiBaba ake D Voice kasema, 1 ya sharti ktk mkataba wa mwanae, ni kutoonekana ktk Pub, club, bar etc.
WCB ktk ubora wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa anafika fika kidimbwiHivi umewahi kumuona diamond club yoyote?
Ndio ,Ukiangalia kwa jicho pana wako sahihi...uwepo wake pale club unaweza kuitangaza club au bar na kuinufaisha club au bar..etc..Baba ake D Voice kasema, 1 ya sharti ktk mkataba wa mwanae, ni kutoonekana ktk Pub, club, bar etc.
WCB ktk ubora wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najua hilo,Ipi? Lengo ni kulinda brand ya msanii Ndio Maana wanafanya hivyo msanii ukiwa unaonekana sana kila mahali anapunguza hamasa ya watu kuudhulia show zako
Analinda Brand, hapaswi kuonekana hovyoo.sasa kama ni hivyo kuna maana gani ya dogo kuitwa msanii wa kizazi kipya
Hapo hapo kwake anapoishiSasa pesa anayopata ataitumia wapi
Yes ni sahihiNdio ,Ukiangalia kwa jicho pana wako sahihi...uwepo wake pale club unaweza kuitangaza club au bar na kuinufaisha club au bar..etc..
Na pili kumuongezea thamani na brand, mtu ukiwa adimu kuonekana kwenye kumbi za starehe ndio inatengeneza demand yako watu kuja kukuona kwenye show...
Simba sports club ,yule Simba wa insta mnyamaHivi umewahi kumuona diamond club yoyote?