Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Nafikiri Samia anatoa onyo hata kwa watumishi wenye kinga, wasipokuwa machawa, wakatoa maoni ambayo hayapendi wanaweza kuishia jela.
Kosa la kumbambikizia, kosa lina dhamana, Mzee wa watu miaka 75 atakimbilia wapi? Wamtesa na kumkomoa tu. Hii serikali wamekosa utu kabisa na kulewa na madaraka.
Kosa la kumbambikizia, kosa lina dhamana, Mzee wa watu miaka 75 atakimbilia wapi? Wamtesa na kumkomoa tu. Hii serikali wamekosa utu kabisa na kulewa na madaraka.