Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

Negative!

I don't spend a lot of energy criticizing anybody.

And trust me, I am a very high energy guy.

Mkuu ,I am a very high energy guy ndo nn?next time sema hivi:I am very energetic guy,
 

majina ya wala rushwa ninayo

majina ya wauza madawa ninayo

tunawajua walioficha hela nje

tunajua........il

kabisa mkuu tushatoka huko!!
 
Ee Mungu naomba waendelee kudhalilika,kunyanyasika,kuaibika,kuumbuka nk,maana watanzania wengi tushapitia hayo kwa sababu ya mijitu kama hiyo! tazama wajawazito wanaojifungulia chini,watoto wanaokaa chini kwa kukosa madawati,wagonjwa wanaokaa mahospitalini zaidi ya mwenzi kwa kukosa vipimo na mengine mengi,je haku sio kudhalilishwa!?
 
Mleta uzi wewe ni mjinga wa mwisho chini ya jua, ninyi ndio wale mlokua mmegeuza ofisi za umma kama za wazazi wenu , kosa la waziri hapo ni nini? anamdhalilisha nn elihal kawauliza kitu kilcho ndan ya kaz zao? mda wa kubembelezana umekwisha sasa na hapa kila mmoja atawajibika, for your information, many more are coming..

Mkurugenz anaulizwa pesa mlizokopa TIB mtazilipaje elhal mmejilipia mishahara badala ya kupeleka kwenye uzalishaji ambao ndio base point ya mkopo, lizee latoa mimacho tu, nashangaa kwann yule mze hakufukuzwa pale pale..

Less n weak minded people are no longer needed in this country!!!!!
 
Napenda pale rais anaposema "hii ni serikali ya John Pombe Magufuli.."
Mambo ya ekotite..,kuunda tume,kulindana nk. Yameligharimu taifa...
TPA,TRA nk yafaa PM aweke ofisi ya muda.
hata mimi naipenda sana hiyo kauli maana angesema hii ni serikali ya sisiemu angeboa
 

Maisha ya kimazoea ndio yanayofanya uandike hv bwana Pasco.Ss ni wapinzani lkn mtu akideal na uozo fulani ambao uko dhahiri tunasifu au tunabeza?Kwa hiyo ww ulitaka waachiwe tu waendelee na wizi,Sijui labla ndio athari za kuzoea dhambi na kufa kwa dhamiri.
 
Ha ha ha,watu mnafurahisha ..........

Wao waendelee kuisoma tu,maana hakuna namna nyingine.
 
Tulipofika kwasasa tunahitaji uongozi wa aina ya pm anavyofanya kwakuwa hiyo good governance tulishindwa tukabaki na michakato na naona tunahitaji wawe madictator kwa muda hadi tutakaponyooka ndipo turudi kwenye hiyo good governance uisemayo.
 
Ni mapema sana kusema sana. Uongozi wa kuteuliwa ni kazi nzito sana, ipo siku tunaweza tena kuja hapa hapa na kusema bora Pinda au bora Kikwete, kipya kinyemi ingawa kidonda, Changamoto za serikali mpya zinakuja, na hapo Majariwa atapimwa vizuri zaidi. This is worldwide, hata Obama at First alionekana like African Messiah ila baada ya muda kiasi akapwaya sana.
Let wait and give time.
 
Kwanini unaamini asingeweza?
Boss wake ndio alikua tatizo.
 
Mtoto wa mkulima kamati ya maadili ya ccm ilishasema hana maadili sasa angewezaje kukemea haya!
 

Uwezo wa wafanyakazi wa serikali in ICT ni mdogo sana. Lazima tunaibiwa sana kwa jina la ICT. Lazima tunauziwa programs ambazo ni substandard, mara nyingi kwa kutokujua ni program gani tunataka. Na kwa jinsi tulivyozoea ujanja ujanja na udanganyifu, lazima ICT inatumika sana kuwezesha ukwepaji wa kodi. Kabla ya kuendelea kushangilia ICT kwenye mifumo ya ukusanyaji mapato ya serikali, forensic auditing inahitajika kwa mifumo ambayo inatumika tayari.

Cha kushangaza, eneo ambalo hajafika au sijasikia kama amefika pale bandarini ni la kupokea mafuta. Kuna ujinga mkubwa sana uliofanyika kwa miaka mingi wa ku-temper na vifaa vya kupimia shehena ya mafuta inayoingia nchini "flow meters". Bila "flow meters" inayofanya kazi na ambayo haijachakachuliwa, serikali haiwezi kujua kiwango sahihi cha kodi inachostahili.
 
Pinda alikuwa anamsikilaza bosi wake gu..wizi wote umecanyika chini yao...ahhhh
 
Pasco kama hutaki hama nchi na kama una ndugu yako mwambie kama ana hofu aache kazi kabisa..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…